kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Leo nimesikia kwenye kipindi cha tuongee magazeti kuwa kuna wanafunzi 216 waliopata mimba arusha.
Nadhani ni muhimu kwa mbunge G.lema kufuatilia suala hili na sio kujihusisha na harakati za CDM kitaifa pekee.angalia sana usije ukalisahau jimbo lako!!
Ni maoni yangu tu unaweza kuyafanyia kazi au ukapuuzia
Nadhani ni muhimu kwa mbunge G.lema kufuatilia suala hili na sio kujihusisha na harakati za CDM kitaifa pekee.angalia sana usije ukalisahau jimbo lako!!
Ni maoni yangu tu unaweza kuyafanyia kazi au ukapuuzia