Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Kwa nini wasiende MAWAZO MAWILI CAMP Tandale kwa MTOGOLE buree kabisa. Ila vyuma vina tofautiaana uzito upande mmoja na mwingine.
...hivi kufanya mazoezi kwa faida ya afya ya mwili wako ulipiwe na ofisi? where else this happens??? may be only in Tanzania??? In Tanzania, everything fishy is possible!!
huyo mbunge ndio anashtuka saa hizi?
Mimi kama mlipa kodi nashangazwa kabisa na huu USHEN.ZI. Hivi hii nchi inakwenda wapi?
Sidhani km ni tatizo kubwa km wengi tunavyojiaminisha. Suala ni kupima utendaji. Bara la Afrika linakabiliwa na tatizo la kukimbiwa na wataalamu, sasa km tukiendelea kuwapa malipo madogo huenda tukakosa watu wa kusimamia shughuli zetu. Imagine mtu analipwa labda dollar 5000, hiyo 200 ni allowance fulani tu. Kwani mnataka wakurugenzi walipwe kiasi gani? Au vinginevyo wote watakuwa wanasiasa.
mkuu ..... nadhani hautambui uwepo wa priority .... je gharama za gym ni muhimu kuliko mahitaji mengine ya umma .... je hao staff wa EWURA hawawezi kuamka asubuhi wakakimbia mchaka mchaka na kuruka kichura chura ili kuokoa gharama hizi kubwa na pesa hizi zikawa allocated kwenye vipaumbele vingine...? think twice
Taasisi nyingi tuu zinawalipia wafanyakazi wao ada za GYMKANA. What is the difference? Hawa badala ya kucheza gofu mchezo ambao hatuna asili nao wamechagua mazoezi ya viuongo.
Wakuu: Jioni hii bungeni; Kuna Mbunge wa Nkasi (CCM). Mh. Kesy amesisitiza kuwa nchi yetu si masikini na kusema kuwa EWURA ( Mamlaka ya kudhibiti nishati na madini) kila mfanyakazi (management) analipwa dolla 200 (zaidi ya sh.300,000/=) kwa mwezi, kwa ajili ya kulipia Gym Ostabey. (tofauti na mshahara) Pesa hiyo hulipwa kwenye hiyo gym. (MD wa pale ni Haruna Massebu)
TBC bungeni. Wanajamvi imekaaje hii?
Wakuu: Jioni hii bungeni; Kuna Mbunge wa Nkasi (CCM). Mh. Kesy amesisitiza kuwa nchi yetu si masikini na kusema kuwa EWURA ( Mamlaka ya kudhibiti nishati na madini) kila mfanyakazi (management) analipwa dolla 200 (zaidi ya sh.300,000/=) kwa mwezi, kwa ajili ya kulipia Gym Ostabey. (tofauti na mshahara) Pesa hiyo hulipwa kwenye hiyo gym. (MD wa pale ni Haruna Massebu)
TBC bungeni. Wanajamvi imekaaje hii?
Wataalam wanakimbia Afrika mara nyingi ni kwa sababu ya nchi kutoendelea - yaani kua na maisha ya kijima. Mimi naona bora kufanya kazi mjini Dar kwa mshahara wa milioni 3 kuliko kijijini mfano Newala kwa milioni 5. Bora nilipwe milioni 3 na kuishi Mikocheni kuliko milioni 4 na kuishi Manzese nk. Fikiria huduma- barabara, usafi wa mazingira, matibabu, shule, internet, etc etc, pia fikiria watu wanaokuzunguka kule Newala kijijini.Sidhani km ni tatizo kubwa km wengi tunavyojiaminisha. Suala ni kupima utendaji. Bara la Afrika linakabiliwa na tatizo la kukimbiwa na wataalamu, sasa km tukiendelea kuwapa malipo madogo huenda tukakosa watu wa kusimamia shughuli zetu. Imagine mtu analipwa labda dollar 5000, hiyo 200 ni allowance fulani tu. Kwani mnataka wakurugenzi walipwe kiasi gani? Au vinginevyo wote watakuwa wanasiasa.