POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu: Jioni hii bungeni; Kuna Mbunge wa Nkasi (CCM). Mh. Kesy amesisitiza kuwa nchi yetu si masikini na kusema kuwa EWURA ( Mamlaka ya kudhibiti nishati na madini) kila mfanyakazi (management) analipwa dolla 200 (zaidi ya sh.300,000/=) kwa mwezi, kwa ajili ya kulipia Gym Ostabey. (tofauti na mshahara) Pesa hiyo hulipwa kwenye hiyo gym. (MD wa pale ni Haruna Massebu)
TBC bungeni. Wanajamvi imekaaje hii?
TBC bungeni. Wanajamvi imekaaje hii?