Umesema vema, hekima haiwezi kulinganishwa na wendawazimunchi hii iliyomilikiwa na mtakatifu nyerere na mnajitahidi kutaka kummilikisha padre slaa 2015 ni lazima mtamkejeli shekh ponda mwenye uwezo mkubwa wa kuondoa udhalimu ktk nchii. Mnyika hana uwezo kumlinganisha na shekh ponda.
Unataka agombee kwa tikiti ya chama gani?Udini ukae kando kama anaona anaweza na wannchi wakamkubali na agombee tuu.Tumeona wachungaji wangapi ni wabunge sembuse shekhe?Magwanda hapo ndipo mnapotuchanganya akitokea muislamu mwanaharakati mnampinga kwa uwezu wenu wote ila kwa mapdre na wachungaji kwenu poa.SIO KIHIVYO BANA YEYOTE ANAYETAKA NAFASI YA KUGOMBEA APEWE ILIMRADI AVUNJI KATIBA. TUUACHE KABISA HUU UDINI UTATUGAWA SISI KWA SISI.
UGOMVI WA SHEKHE PONDA NI WA KIIMANI ZAIDI HIVYO KAMA SIO MUUMINI HUWEZI KUJUA KIUNDANI OVER
ninachokipenda kwa ndugu zangu waislam ni mabinti wao tu. Ama kwa hakika mabinti wa kiislam wengi wao ni wasafi, wanajipenda na kwenye yale mambo yetu aaah mashallah. Nimekuwa nao kadhaa na hata huyu nilienae sasa ni mwislam... Japo nasikitika sitamwao na yeye mwenyewe analitambua hilo.
Wakuu nisameheni kwa umbumbumbu wangu na ufedhuli wangu wa kuanzisha thread ya kijuha na ya ukilaza kama hii ila ilikuwa ni just kuwapa hi baada ya kutoka kwenye ban iliyosababishwa na wakina zomba, NISAMEHENI kwa ***** wangu na hizi pumba kwani MNYIKA hawez kushindanishwa na BOKHOHARAMU PONDA, nafuta kauli yangu.
Naomba kuwasilisha.