Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
na wale askari ni wanafki,huwa wanawaruhusu jamaa wachote mchanga wa dhahabu kwa kupewa kidogodogo sasa waliposhtukiwa wanajihami na risasi za moto!!inasikitisha sana tunanyanyaswa nyumbani kwetu!wale wanaume wa nyamongo wameamua vizuri tu kuwapiga mawe