Mbunge wa Tarime Nyambari Nyangwine live cloudz msikilizeni yupo na kina Hando
Naomba nisisikie mtu analalamika baadae eti Hando katukana, inaonekana hiyo ndio redio yenu kipenzi hiyo. mimi sina muda wa kusikiliza redio iliyojaa mashoga.
ndiye yule aliyepigwa???
jamani mwenye shida ya kumsikiliza atamsikiliza, wewe kama huhitaji kumsikiliza zima redio au fungulia redio nyingine hata za dini zipo nyingi tu unaweza kusikiliza. na hayo ya kusema kuwa "mashoga" wewe inakuhusu nini? hilo ni swala la mtu binafsi.
jamani tuwe watu wa kuzungumzia "issies" na siyo kuzungumzia WATU...!!!
aliiba kuraamesema alienda na walinzi binafsi,inakuwaje mbunge anaenda jimboni mwake na walinzi binafsi??sielewi