Ni vyema watuhumiwa wangejitokeza na kukanusha kuliko kutumia mkono wa dola.hivi kauli ile, unaweza kusema kaonewa? unaituhumu serikali bila ushahidi huo si uchochezi? Tuchunge kauli zetu.
CCM imechokwa , haina sera wala vision yoyote , wala tusitegemee maendeleo yoyote . Kitu wanachokipigania ni kuanzishwa vurugu ili wapate sababu ya kuendeleza utawala wa mabavu , vyenginevyo CCM inajimaliza yenyewe
Mahakama ipo Tanga lkn inayohusu mambo ya upinza especially ukawa mahakama ipo dar. Kumbuka kuwa hata Lisu alipelekwa darKwani hapo Tanga hakuna mahakama wala polisi ??
Msipende kukurupuka? mnajua anashikiliwa kwa kosa gani? kalitendea wapi? angekuwa kalitendea Tanga asingesafirishwa, kitu kama hamjui ni bora kukaa kimya.Nchi ya mwendokasi. Hv Tanga hamna mahakama? Au intelijensia imegundua mahakama za Tanga hazitatenda haki
Mchungaji Mtikila mzee wa makavu live angekuwa hai katika awamu hii bila shaka angewekwa kizuizini maisha.
Uko shule umeenda kumalizia wenzio uji tu mleta mada kakuambia kakamatwa Tanga baada ya mkutano wake mbona TL walimtoa Singida hadi darMsipende kukurupuka? mnajua anashikiliwa kwa kosa gani? kalitendea wapi? angekuwa kalitendea Tanga asingesafirishwa, kitu kama hamjui ni bora kukaa kimya.
Hivi unadhani watuhumiwa kukanusha kunasidia kutuliza hasira za ndugu waliouawa?Ni vyema watuhumiwa wangejitokeza na kukanusha kuliko kutumia mkono wa dola.
Wewe unayejua twambie basi, mbona unauliza tena?!Msipende kukurupuka? mnajua anashikiliwa kwa kosa gani? kalitendea wapi? angekuwa kalitendea Tanga asingesafirishwa, kitu kama hamjui ni bora kukaa kimya.
Tanga Mahakama Hamna?Hivi unadhani watuhumiwa kukanusha kunasidia kutuliza hasira za ndugu waliouawa?
Hao jamaa wakichukua sharia mkononi dhidi ya serikali huyo Mh. Mbunge atajibu nini?
Anastahili kutiwa nguvuni na kisha apelekwe Mahakamani kudhibitisha kauli zake. Tusichezee amani! !
Hoja za kisiasa hujibiwa kwa hoja za kisiasa.Hivi unadhani watuhumiwa kukanusha kunasidia kutuliza hasira za ndugu waliouawa?
Hao jamaa wakichukua sharia mkononi dhidi ya serikali huyo Mh. Mbunge atajibu nini?
Anastahili kutiwa nguvuni na kisha apelekwe Mahakamani kudhibitisha kauli zake. Tusichezee amani! !
Kila.za mkubwa wewe, huko dsm alishtakiwa kwa kosa alolifanya Singida? ni bora kukaa kimya mtu akakuzania kuwa u mpumbavu kuliko kuongea ukathibitisha upumbavu wako.Uko shule umeenda kumalizia wenzio uji tu mleta mada kakuambia kakamatwa Tanga baada ya mkutano wake mbona TL walimtoa Singida hadi dar