Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Dogo umekomaa kweli na CHADEMA upo zamu??Hata kama wangekua 100000
But kwa sasa chadema ndio kimbilio la watu wenye kashfa za ufisadi
Inatia huruma sana kama mlichokihubiri kwa miaka mingi Leo ndio mnachokikumbatia
Too sad.
Lakini Shonza alikomaa hivi hivi leo ni waziri, chemka!!