ukitoa na utoro atakuwa amesoma hadi la ngapi?Hawa ndio wanatutungia sheria hii ni hatari sana
There is no joking here,Loooooh! tena anaweza akateuliwa kuwa mjumbe katika kamati ya mambo ya nje huyu sasa sijui atatusemea nini huko nje ya nchi tena natumaini huyu 'Maimuna'Jamani you must be joking- una maana baada ya 1981 hakuendelea na elimu yoyote zaidi primary school? anakaa bungeni na wakina Pinda, Pro Mwakyusa, Lissu, Matomato, Komba. Naona kama umekosea vile?
ukitoa na utoro atakuwa amesoma hadi la ngapi?