Ikimita
JF-Expert Member
- Oct 23, 2010
- 300
- 21
Afadhali uwahi maana huyo Airo ameshinda Ubunge kwa mapesa yake tu sidhani kama anao uwezo. Infact sina imani kama kweli amegombea U bunge kwa maslahai ya Wana Rorya.
Probably right, jamaa pia hawezi kujieleza. Kuna kamanda mmoja wa huko alinichekesha, anadai kuwa nusu ya hotuba zake za kampeni zimejaa maneno CCM oyee.
"Nitaleta visima, CCM oyee", "Nitawasaidia kutatua matatizo, CCM oyee", "Wapinzani hawana hoja, CCM oyee", "Mnipigie mimi kura, CCM oyee" halafu tutasaidiana, CCM oyee" ...... and stuff like that - cheap!!