Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,568
MBUNGE wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ambaye alikuwa anashikiliwa na Polisi mkoani Arusha ameachiwa kwa dhamana usiku wa leo Jumatano Agosti 23, 2023.
Akizungumza baada ya kuachiwa Ole Shangai amesema kwa siku tatu tangu alipokamatwa aligoma kula.
Pia Soma:
- Mbunge wa Ngorongoro bado anashikiliwa na Polisi. Anahojiwa kuhusu Waandishi wa habari kupigwa