Kwanini CHADEMA hawakumtumbua!?Mbunge wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe leo Februari 15, 2020 amejiuzulu nafasi hiyo na kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM). Dalili ya kuondoka alishaionyesha tangu siku nyingi aondoke salama
Chama ni watu mkuu. Kumbuka nae ana mnyororo wa watu na kuna uwezekana mkubwa akaondoka naoZa ndani nilizonazo ni kua hata akitimkia ccm, hakuna athari yoyote itakayotokea kwa chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshalipwa kiinua mgongo chake na bakshish juu,kodi zetu zinatumika kimalaya sana. Amehakikishiwa na mmiliki wa chama kupitishwa kwenye Kura za maoni.Sasa kama kuhama kwake kunatokana na kushindwa, je huko anakoene akishindwa atafanyaje?