only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Yule mbunge wa Mtera ndg Lusinde aka Kibajaji ameendelea kushutumiwa kukigawa chama cha mapinduzi jimboni kwake Mtera.Taarifa zinasema kuna kundi kubwa la wanachama wa CCM ambao wameanza kusikitika kwanini walimuunga mkono huyu ndugu Kibajaji...
Kundi kubwa linalomuunga mkono Lusinde limesema kuwa Ndg Kibajaji amegombana na baadhi ya madiwani wa chama chake na ameendelea kutamba kuwa alimnunua mgombea wa CDM ndg Lameck.L..
Mbaya zaidi wanachama wa chama cha mapinduzi wameendelea kudai kuwa Ndg Kibajaji anatumia muda Mungu kumchafua Mzee Malecela maana anaonekana kama bado ni kikwazo kwa utawala wake na hasa uchaguzi wa 2015...
Alipoulizwa Lusinde alijibu yeye hana ugomvi na mtu yoyote maana wote ni ndugu zake.Lakini alitoa mpya kwa kusema kuwa hawezi kwenda kuomba ushauri wala kuiga namna ya kuongoza jimbo kwa watu aliowashinda,hapa akimaanisha hawezi kwenda kuomba ushauri kwa mtu kama Mzee Malecela wakati alimbwaga kwenye uchaguzi.
....Huyu ndiye Mbunge wa Mtera ndg Lusinde aka Kibajaji,wana Mtera wanajutia maamuzi yao waliyoyafanya bila kutafakari.
Source : Mwananchi
Kundi kubwa linalomuunga mkono Lusinde limesema kuwa Ndg Kibajaji amegombana na baadhi ya madiwani wa chama chake na ameendelea kutamba kuwa alimnunua mgombea wa CDM ndg Lameck.L..
Mbaya zaidi wanachama wa chama cha mapinduzi wameendelea kudai kuwa Ndg Kibajaji anatumia muda Mungu kumchafua Mzee Malecela maana anaonekana kama bado ni kikwazo kwa utawala wake na hasa uchaguzi wa 2015...
Alipoulizwa Lusinde alijibu yeye hana ugomvi na mtu yoyote maana wote ni ndugu zake.Lakini alitoa mpya kwa kusema kuwa hawezi kwenda kuomba ushauri wala kuiga namna ya kuongoza jimbo kwa watu aliowashinda,hapa akimaanisha hawezi kwenda kuomba ushauri kwa mtu kama Mzee Malecela wakati alimbwaga kwenye uchaguzi.
....Huyu ndiye Mbunge wa Mtera ndg Lusinde aka Kibajaji,wana Mtera wanajutia maamuzi yao waliyoyafanya bila kutafakari.
Source : Mwananchi