Mh! Sijui kama kweli kuna shule iliyo na computer toka kwa sugu. Labda unipe mfano wa shule zilizopatiwa computer na Sugu
Mh! Sijui kama kweli kuna shule iliyo na computer toka kwa sugu. Labda unipe mfano wa shule zilizopatiwa computer na Sugu
Mh! Sijui kama kweli kuna shule iliyo na computer toka kwa sugu. Labda unipe mfano wa shule zilizopatiwa computer na Sugu
acheni uongo amegawa shule ya mwakibete anatokea yeye na shule majengo tu lakn kuhuxu road hamna k2 muongo huyo
Zipo shule nyingi tu pale Mbeya, jamaa amekarabati madarasa na kuweka Computer hizo. Wanaosema Sugu ni Rais wa Mbeya hawaropoki tu hivihivi, wanavitu kadhaa vya kuwaonyesha.
Ukienda pale Mbeya ndo utaijua vizuri kazi ya Sugu. Barabara zinajengwa, Madaraja yanajengwa. Shule zinajengwa miundombinu mbalimbali inawekwa kila kitu mahala pake. Jiji linang'aa kila pembe ya mji, Miccm kuja na drama ya familia ya Sugu siyo hivihivi tu, wamebanwa kila pembe Sugu kawanyima pumzi, hawana la kusema.
Karibia Mbeya ujionee mwenyewe, usipende kusimuliwa. Please mwenye picha za Sugu akisambaza Computer mashuleni amuwekee huyu Thomaso hapa.. Maana kuna nyuzi kadhaa zipo hapa zikiwa na ushahidi uutakao.
BACK TANGANYIKA
Kupigana Ngumi Bungeni, kunasababisha wanambeya kutomchagua tena.
SUGU akirudi Bungeni nakupa shs 100,000 ila asiporudi wewe nipe shs 100 tu.akirud bungen ntakutafuta ufute kaul yako
Me niko Mbeya hayo maendeleo kaya leta wap? kura yangu hapati mwaka huu!!!!