Inawezekana vipi katibu mkuu kusimamisha mradi bila waziri wake kujua?
Kama kweli Mi naona wizara nzima imeoza.
Na vipi huo ushahidi ameshakabidhi kwa spika au kwenye vyombo husika kwa ajili ya uchunguzi zaidi na uthibitisho wa kauli yake.
Ni huyu filikunjombe ambaye wabunge wakiikomalia serikali kwa hoja nzitonzito anasema wana mambo ya kitoto? Ameanza lini utoto na yeye?Mh. Filikunjombe anapokea maoni na ushauri wenu hapa Filikunjombe Haule Deo kuhusu utendaji wake wa kazi. Msimuangushe wananchi
Mbona chuma inaondoka kule liganga kila kukicha na yeye yupo kimya! Na ndo kinala wa kutetea uozo wa chama!Maamuzi ya nchi yetu yanaamuliwa na wachache wasio na akilikaza buti mh. Tetea jimbo lako la rudewa bila kujali uozo wa chamachako wachome waelewe
criticalJairo alikuwa akitekeleza maelekezo ya rais
<br />rais yupi?
Maisha ndivyo yalivyo mkuu , pole sana .Rip filikunjombe....daima tutakumbuka juhudi zako baba...umetuacha umeenda peke yako...