DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kituko kingine cha Jairo akiwa Katibu wa Madini aliandika barua kipindi cha mwezi wa tatu [3] mwaka huu kusimamisha mradi wa umeme wa Liganga. Anasema sababu za kusimamishwa kwa mradi huo wa Umeme ni mambo binafsi na faida binafsi za bwana David Jairo.
Bwana Filikunjombe alikuwa akichangia hoja ya Wizara ya Viwanda na biashara. Anasema bila umeme wananchi wa Ludewa wataendesha vipi shughuri zao huku vijana wao wamefunga saloon zao kwa kukosa umeme.
Kawasilisha mchango wake kwa kupigilia msumari kuhusu bwana David Jairo akiwa na barua hiyo ya kukatisha kuendelea kwa mradi huo wa umeme kwa sababu zake binafsi.
Kwa mtindo huo kweli wametufikisha pabaya
Nawasilisha
Bwana Filikunjombe alikuwa akichangia hoja ya Wizara ya Viwanda na biashara. Anasema bila umeme wananchi wa Ludewa wataendesha vipi shughuri zao huku vijana wao wamefunga saloon zao kwa kukosa umeme.
Kawasilisha mchango wake kwa kupigilia msumari kuhusu bwana David Jairo akiwa na barua hiyo ya kukatisha kuendelea kwa mradi huo wa umeme kwa sababu zake binafsi.
Kwa mtindo huo kweli wametufikisha pabaya
Nawasilisha