Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
Mbunge wa Kawe. Asikofu Dr Josepat Gwajima. Ametembelea Bunge la Japan. Hapa akituma salaam kwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson.
Aidha Gwajima amepata mialiko kadhaa ya watu wa Tokyo kufika jimboni Kawe na kufanya mashirikiano rasmi ya kimikakati
View attachment 2374079
Aidha Gwajima amepata mialiko kadhaa ya watu wa Tokyo kufika jimboni Kawe na kufanya mashirikiano rasmi ya kimikakati
View attachment 2374079