Godwin Mneng'ene
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 215
- 84
Wana jf nisaidieni kwa hili nimepata tetesi kwamba mbunge wa geita mjini mhe donald max eti amesimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge kwa makosa ya kumshika makalio muhudumu wa bunge wakati vikao vikiwa vinaendelea. Kwa wenye uhakika wa hii tetesi please more info