MITIMIREFU
Member
- Nov 7, 2011
- 7
- 4
katika hali isiyokuwa ya kawaida leo katika ofisi za mbunge wa jimbo hili kwa tiketi ya ccm mh Masele amepokea samasi ya kuitwa mahakama kwa ajili ya matokeo ya ubunge.
hali imetokea baada ya aliyekuwa akishitakiana nae kufari mh Shelembi na sasa kesi hiyo imeamua kufunguliwa upya nawapiga kura wa manispaa ya shinyanga kesi itafanyika mkoani Tabora hivi karibuni
hali imetokea baada ya aliyekuwa akishitakiana nae kufari mh Shelembi na sasa kesi hiyo imeamua kufunguliwa upya nawapiga kura wa manispaa ya shinyanga kesi itafanyika mkoani Tabora hivi karibuni