cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
huo ndio ukweli wenyewe my dear! hakuna polisi pale salenda asiyefahamu adha ya wale agents wao, ila wanafanikisha sana kuwapa chochote kitu, hawawezi kuwafukuza pale! yaani ni ujinga usioelezeka kwa mtu yeyote, kuwa kituo kikubwa kama salenda kipo pale, na watu wanalizwa mali zao, tena kudhurika kabisa, without them taking any action! ni aibu mno kwa serikali dhaifu ya ccm!Nakubaliana na wewe kwamba hao ni ma agent wa polisi. Haiingii akilini inakuwaje uhalifu ufanyike hapo just few meters kutoka kito cha polisi?
Tiba