tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Katika hali isiyo ya kawaida (Kwa taarifa ya habari ya TBC 1), mbunge aliyeshindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, Mathayo Manyinyi, amemtuhumu mbunge wa Musoma mjini kwa tiketi ya CHADEMA Vincent Nyerere pamoja na madiwani kwa kumwibia madawati.Mathayo amesema atawafikisha watuhumiwa mahakamani kwa kumwibia mbunge huyo mstaafu madawati ambayo ni mali ya familia yake.
Binafsi nimeshindwa kuelewa vema sakata hilo. Naomba mwenye taarifa kamili atujuze. Yawezekana pia ikawa ni hasira za kushindwa katika uchaguzi!
Binafsi nimeshindwa kuelewa vema sakata hilo. Naomba mwenye taarifa kamili atujuze. Yawezekana pia ikawa ni hasira za kushindwa katika uchaguzi!