Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,067
- 144,501
Mbunge mmoja amemtaka waziri wa uchukuzi mh. Mwakyembe nae ajiuzulu na kumpongeza waziri wa zanzibar wa miundombinu kwa kujiuzulu.
Amesema atamshangaa endapo atamuona anasimama bungeni kuwasilisha bajeti ya wizara yake na amesema wazi anamshangaa mpaka sasa ajajiuzulu.
Mbunge huyo ametoa kauli hiyo jioni hii wakati akichangia bajeti ya wizara ya mawasiliano,sayansi na teknolojia.
Amesema atamshangaa endapo atamuona anasimama bungeni kuwasilisha bajeti ya wizara yake na amesema wazi anamshangaa mpaka sasa ajajiuzulu.
Mbunge huyo ametoa kauli hiyo jioni hii wakati akichangia bajeti ya wizara ya mawasiliano,sayansi na teknolojia.