kama una debate na huyu wewe utakuwa mgeni hapa jukwaani
Asante kwa ushauri mzuri.
kama una debate na huyu wewe utakuwa mgeni hapa jukwaani
Asante kwa ushauri mzuri.kama una debate na huyu wewe utakuwa mgeni hapa jukwaani
Hutu mama ni mbunge wa jimbo gani?
natamani ungekuwa karibu yangu nikunase vibaoNaunga mkono hoja ya Mbunge imejaa uzalendo wa hali ya juu.
Mbunge Mary Chatanda ametaka katiba ibadilishwe ili vyama vya upinzani visiruhusiwe kufanya mikutano ya hadhara kama ilivyo baadhi ya nchi nyingine ili kuachia serikali kutekeleza ilani yake
Ila anaungwa mkono na watanzania wengi sanaDuh yani hapa tu ndio uwa napata shida kumpa kura mtu wa CCM atakama mtu wa upinzani simkubali yani PROF, DKT, ENG, Laywer na wengine wasomi wakiwa CCM tu akili zao uwa zinaganda , ona uyu mama sina uhakika na elimu yake ila nazani alifaulu kama MAROPE au alifeli kama Msemaji wa chama kile cha mafisadi piga F za kutosha
Mbunge Mary Chatanda ametaka katiba ibadilishwe ili vyama vya upinzani visiruhusiwe kufanya mikutano ya hadhara kama ilivyo baadhi ya nchi nyingine ili kuachia serikali kutekeleza ilani yake
hardlyHivi hawa wabunge wetu wanasoma Kweli
Ana kisirani sana huyu na anapenda kusujudiwa sanaAnatafuta bwana