Kawaida yao wanadhani wako juu ya sheria
Huyo mbunge kama anatabia ya kuperuzi hii jamii forum naomba kabla hajahukumiwa aje huku Dar es salaam kumwaga dozi kwa hawa wanaojiita DAWASCO!!Mimi simlaumu kabisa kwa hatua aliyomchukulia huyo jamaa,sababu hawa watu hata kama hujapata maji mwaka mzima bill lazima utaandikiwa tuu,kazi yao wao ni kukadiria,hata hizo mita huwa hawazisomi,alafu kibaya zaidi hata watumiaji wa maji hawajui kuzisoma hizo mita thats y wanaibiwa!!!
BRAVO Mhe.Mbunge!!
Kwa hiyo unataka kunambia habari hii imetolewa na A au tunachukua habari ya huyo A na kutaka kuihalalisha kuwa ndivyo ilivyokuwa!.
Maadam wewe na mimi hatukuwepo hii habari kwetu haina ukweli wa kuzungumza kwamba yule jamaa katumia cheo chake cha Ubunge au rangi yake..
Huyo mbunge kama anatabia ya kuperuzi hii jamii forum naomba kabla hajahukumiwa aje huku Dar es salaam kumwaga dozi kwa hawa wanaojiita DAWASCO!!Mimi simlaumu kabisa kwa hatua aliyomchukulia huyo jamaa,sababu hawa watu hata kama hujapata maji mwaka mzima bill lazima utaandikiwa tuu,kazi yao wao ni kukadiria,hata hizo mita huwa hawazisomi,alafu kibaya zaidi hata watumiaji wa maji hawajui kuzisoma hizo mita thats y wanaibiwa!!!
BRAVO Mhe.Mbunge!!