mbunge wa bunge la korea kusini alipua bomu la machozi bungeni na kuwaliza wabunge wote!
Amefanya hvyo kuonyesha hisia zake za kutokubali nchi yake kuingia mkataba wa kibiashara na Marekani.
A very misleading thread. Kwa nini usiwe specific badala ya kuwafanya watu wawe na fikra kwamba ni jambo linalowahusu kumbe ni la huko nje. Hiyo ni tabia ya waandishi uchwara hasa wa magazeti ya udaku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.