Mbuga za Wanyama huenda ndio zina watalii wachache Duniani

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,515
Utalii wakutembelea mbuga za wanyama huenda ukawa haupendwi sana Duniani ukilinganisha na utalii wa Fukwe, utalii wa kutembelea mambo ya kale na hata kutembelea miji, au utalii wa matamasha makubwa Duniani.

Fikiria Misiri kwa Mwaka anapokea watalii Million 15 na Tanzania ni 1.5 Million, na hapo Egypt hakuna tembo wala faru ila sana wabatembelea fukwe na yale ma Pyramidi ya Misiri, na shida ya ncni hii imekomaa na Mbuga za wanyama pekeee yake na ku ignore utalii wa Fukwe, utalii wa mambo ya kale, utalii, michezo na kadhalika.

Nchi zinazo pokea watalii wengi Duniani hazina hiafadhi za wanyama bali zina vivutio vingine tofauti na wanyama.

Ni wakati wa kuweka promo saba kwenye vivitio vingine mfabo Fukwe, kuandaa matamasha kama inawezekana, utalii wa mijini.
 
Mbona hujatolea mfano South Africa, ambayo pia inapokea watalii takribani 15m ? Hapa mnataka kufanya justification tu ya kuacha kufanyia promotion utalii wa mbugani, mfanyie promotion utalii wa maeneo ya Pwani tu kwa sababu Samia anatoka Zenji.
 
Mbona hujatolea mfano South Africa, ambayo pia inapokea watalii takribani 15m ? Hapa mnataka kufanya justification tu ya kuacha kufanyia promotion utalii wa mbugani, mfanyie promotion utalii wa maeneo ya Pwani tu kwa sababu Samia anatoka Zenji.
Unazani wanatembelea Mbuga za wanyama? Wanai tembelea mbugza z wanyana ni robo au chini ya robo, kuke kuba Fukwe bora kabisa Duniani, kuna events kibao,
 
Mbona hujatolea mfano South Africa, ambayo pia inapokea watalii takribani 15m ? Hapa mnataka kufanya justification tu ya kuacha kufanyia promotion utalii wa mbugani, mfanyie promotion utalii wa maeneo ya Pwani tu kwa sababu Samia anatoka Zenji.
Mambo ya Samia yanaingiaje hapa?
 
Utalii wakutembelea mbuga za wanyama huenda ukawa haupendwi sana Duniani ukilinganisha na utalii wa Fukwe, utalii wa kutembelea mambo ya kale na hata kutembelea miji, au utalii wa matamasha makubwa Duniani.

Fikiria Misiri kwa Mwaka anapokea watalii Million 15 na Tanzania ni 1.5 Million, na hapo Egypt hakuna tembo wala faru ila sana wabatembelea fukwe na yale ma Pyramidi ya Misiri, na shida ya ncni hii imekomaa na Mbuga za wanyama pekeee yake na ku ignore utalii wa Fukwe, utalii wa mambo ya kale, utalii, michezo na kadhalika.

Nchi zinazo pokea watalii wengi Duniani hazina hiafadhi za wanyama bali zina vivutio vingine tofauti na wanyama.

Ni wakati wa kuweka promo saba kwenye vivitio vingine mfabo Fukwe, kuandaa matamasha kama inawezekana, utalii wa mijini.
Ila CCM inasikitisha sana, kwenye utalii hawana creativity kabisa kiboresha na kukuza utalii, kutwa tu kuhangaika na mbuga za wanyama

Kwenye utalii wa fukwe Zanzibar wako vizuri
 
Back
Top Bottom