Zanzibar Ikijichanga vyema itaipiku Bara kwa utalii mbali sana

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
467
1,308
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani.

Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara tumejikita kwenye utalii wa Tembo na simba tu.

Usha jiuliza kwa nini Moroco au Misiri wanapokea watalii million 10 hadi 15 kwa mwaka il na hawana Tembo? Ilihali Tanzania tunapokea milion 1.5?

Na watu wanadanganyana kwamba.ni hatujajitangaza, huo sio ukweli. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Duniani na nchi kama Moroco hao watalii milion 10 plus ni wanaenda kwenye fukwe za Moroco. Moroco ni moja ya nchi yenye fukwe bora kabisa.

Zanzibar wakiwekeza.vilivyo kwenye zile fukwe zao sisi Bara na tembo wetu hatutawafikia kamwe na Daima.
 
hakuna sehemu kama serengeti na kilimanjaro dunia nzima wewe
shida ni uongozi watu waliopewa idara sio walichosomea waliosomea wako mtaani ama wanafanya issue nyingie akili..akili..akili.
 
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani.

Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara tumejikita kwenye utalii wa Tembo na simba tu.

Usha jiuliza kwa nini Moroco au Misiri wanapokea watalii million 10 hadi 15 kwa mwaka il na hawana Tembo? Ilihali Tanzania tunapokea milion 1.5?

Na watu wanadanganyana kwamba.ni hatujajitangaza, huo sio ukweli. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Duniani na nchi kama Moroco hao watalii milion 10 plus ni wanaenda kwenye fukwe za Moroco. Moroco ni moja ya nchi yenye fukwe bora kabisa.

Zanzibar wakiwekeza.vilivyo kwenye zile fukwe zao sisi Bara na tembo wetu hatutawafikia kamwe na Daima.
Na ili wafanikiwe lazima tanganyika wapigwe Sindano yausingizi wa pono
 
Acha opa
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani.

Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara tumejikita kwenye utalii wa Tembo na simba tu.

Usha jiuliza kwa nini Moroco au Misiri wanapokea watalii million 10 hadi 15 kwa mwaka il na hawana Tembo? Ilihali Tanzania tunapokea milion 1.5?

Na watu wanadanganyana kwamba.ni hatujajitangaza, huo sio ukweli. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Duniani na nchi kama Moroco hao watalii milion 10 plus ni wanaenda kwenye fukwe za Moroco. Moroco ni moja ya nchi yenye fukwe bora kabisa.

Zanzibar wakiwekeza.vilivyo kwenye zile fukwe zao sisi Bara na tembo wetu hatutawafikia kamwe na Daima.
Acha ipae tu. Hii ni kwa sababu watu wake hawana udini wala chuki na watanganyika kama walivyo akina Lissu, Mbowe na magenge yao.
 
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani.

Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara tumejikita kwenye utalii wa Tembo na simba tu.

Usha jiuliza kwa nini Moroco au Misiri wanapokea watalii million 10 hadi 15 kwa mwaka il na hawana Tembo? Ilihali Tanzania tunapokea milion 1.5?

Na watu wanadanganyana kwamba.ni hatujajitangaza, huo sio ukweli. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Duniani na nchi kama Moroco hao watalii milion 10 plus ni wanaenda kwenye fukwe za Moroco. Moroco ni moja ya nchi yenye fukwe bora kabisa.

Zanzibar wakiwekeza.vilivyo kwenye zile fukwe zao sisi Bara na tembo wetu hatutawafikia kamwe na Daima.
Wazanzibar wanafanya juu chini kuua utalii bara ninao ushahidi chungu nzima hata fukwe zetu za umma za bahari kuto endelezwa ni njama jao
 
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani.

Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara tumejikita kwenye utalii wa Tembo na simba tu.

Usha jiuliza kwa nini Moroco au Misiri wanapokea watalii million 10 hadi 15 kwa mwaka il na hawana Tembo? Ilihali Tanzania tunapokea milion 1.5?

Na watu wanadanganyana kwamba.ni hatujajitangaza, huo sio ukweli. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Duniani na nchi kama Moroco hao watalii milion 10 plus ni wanaenda kwenye fukwe za Moroco. Moroco ni moja ya nchi yenye fukwe bora kabisa.

Zanzibar wakiwekeza.vilivyo kwenye zile fukwe zao sisi Bara na tembo wetu hatutawafikia kamwe na Daima.
Sikio halizidi kichwa.
 
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani.

Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara tumejikita kwenye utalii wa Tembo na simba tu.

Usha jiuliza kwa nini Moroco au Misiri wanapokea watalii million 10 hadi 15 kwa mwaka il na hawana Tembo? Ilihali Tanzania tunapokea milion 1.5?

Na watu wanadanganyana kwamba.ni hatujajitangaza, huo sio ukweli. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Duniani na nchi kama Moroco hao watalii milion 10 plus ni wanaenda kwenye fukwe za Moroco. Moroco ni moja ya nchi yenye fukwe bora kabisa.

Zanzibar wakiwekeza.vilivyo kwenye zile fukwe zao sisi Bara na tembo wetu hatutawafikia kamwe na Daima.
Hiyo Bodi ya Utalii TTB imelala usingizi mzito sana!Haina watu wa mikakati ya maana kubadili muelekeo!
 
hakuna sehemu kama serengeti na kilimanjaro dunia nzima wewe
shida ni uongozi watu waliopewa idara sio walichosomea waliosomea wako mtaani ama wanafanya issue nyingie akili..akili..akili.

upo kwenye usingizi uzito mkuu, nani anashida shida na wanayama Pori? destination zote kubwa za utalii duniani ni maeneo ya kula bata na sio kuranda mwituni.
 
Back
Top Bottom