mbowe soma hii

nyabhingi

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
15,515
20,005
baada ya kukiri kwa CDM kwamba wamenunua malori ya mbowe kwa kulipa deni kidogokidogo bila riba inawezekana ikaonekana kama mbowe ameisaidia chadema,lakini mimi naona kuna mgongano wa maslahi,mwenyekiti wa chama anakiuzia chama malori yake!inawezekana mbowe kayatoa kwa roho safi labda na kwa bei ya hasara lakini kisiasa unakuwa umewapa wapinzani wako silaha ya kukuandama,..CDM wawe wanafikiria kwa undani zaidi kabla ya kuamua jambo no matter how good intentions are,kwa swala hili la malori sijui nani awajibike?mbowe au walioshauri kuyanunua..lakini naye mbowe angekataa kukiuzia chama...kwa mtazamo wangu,naona mbowe akabidhi uenyekiti kwa mtu mwingine na hii haimaanishi mbowe ni fisadi..huu ni mtazamo wangu labda kama silielewi hili sakata vizuri nieleweshwe.,taarifa ya chadema ya kukiri kununua malori imechapishwa gazeti la mwanahalisi..
 
aisee yule dr slaa ndiye awe mwenyekiti,mbowe hana matatizo kwanza natoka naye kijiji kimoja,lakini slaa ana kitu ambacho anaweza kuwafanyia watanzania katika process nzima ya mabadiliko,nahisi slaa ni kiongozi mwenye uwezo
 
aisee yule dr slaa ndiye awe mwenyekiti,mbowe hana matatizo kwanza natoka naye kijiji kimoja,lakini slaa ana kitu ambacho anaweza kuwafanyia watanzania katika process nzima ya mabadiliko,nahisi slaa ni kiongozi mwenye uwezo

hueleweki
 
baada ya kukiri kwa CDM kwamba wamenunua malori ya mbowe kwa kulipa deni kidogokidogo bila riba inawezekana ikaonekana kama mbowe ameisaidia chadema,lakini mimi naona kuna mgongano wa maslahi,mwenyekiti wa chama anakiuzia chama malori yake!inawezekana mbowe kayatoa kwa roho safi labda na kwa bei ya hasara lakini kisiasa unakuwa umewapa wapinzani wako silaha ya kukuandama,..CDM wawe wanafikiria kwa undani zaidi kabla ya kuamua jambo no matter how good intentions are,kwa swala hili la malori sijui nani awajibike?mbowe au walioshauri kuyanunua..lakini naye mbowe angekataa kukiuzia chama...kwa mtazamo wangu,naona mbowe akabidhi uenyekiti kwa mtu mwingine na hii haimaanishi mbowe ni fisadi..huu ni mtazamo wangu labda kama silielewi hili sakata vizuri nieleweshwe.,taarifa ya chadema ya kukiri kununua malori imechapishwa gazeti la mwanahalisi..
Title yako inakosa heshima. Tutajua ukweli maana naamini CDM ni chama makini. Heshima iongeze kwa viongozi.
 
baada ya kukiri kwa CDM kwamba wamenunua malori ya mbowe kwa kulipa deni kidogokidogo bila riba inawezekana ikaonekana kama mbowe ameisaidia chadema,lakini mimi naona kuna mgongano wa maslahi,mwenyekiti wa chama anakiuzia chama malori yake!inawezekana mbowe kayatoa kwa roho safi labda na kwa bei ya hasara lakini kisiasa unakuwa umewapa wapinzani wako silaha ya kukuandama,..CDM wawe wanafikiria kwa undani zaidi kabla ya kuamua jambo no matter how good intentions are,kwa swala hili la malori sijui nani awajibike?mbowe au walioshauri kuyanunua..lakini naye mbowe angekataa kukiuzia chama...kwa mtazamo wangu,naona mbowe akabidhi uenyekiti kwa mtu mwingine na hii haimaanishi mbowe ni fisadi..huu ni mtazamo wangu labda kama silielewi hili sakata vizuri nieleweshwe.,taarifa ya chadema ya kukiri kununua malori imechapishwa gazeti la mwanahalisi..


bora ungeomba tu email ya mbowe ukamwandikia barua-pepe.
 
Dr. Slaa ni kichwa kweli kweli. Mh. Mbowe, pima mwenyewe aidha faida juu ya malori yako au poleploe utoteze umaarufu.........
 
baada ya kukiri kwa CDM kwamba wamenunua malori ya mbowe kwa kulipa deni kidogokidogo bila riba inawezekana ikaonekana kama mbowe ameisaidia chadema,lakini mimi naona kuna mgongano wa maslahi,mwenyekiti wa chama anakiuzia chama malori yake!inawezekana mbowe kayatoa kwa roho safi labda na kwa bei ya hasara lakini kisiasa unakuwa umewapa wapinzani wako silaha ya kukuandama,..CDM wawe wanafikiria kwa undani zaidi kabla ya kuamua jambo no matter how good intentions are,kwa swala hili la malori sijui nani awajibike?mbowe au walioshauri kuyanunua..lakini naye mbowe angekataa kukiuzia chama...kwa mtazamo wangu,naona mbowe akabidhi uenyekiti kwa mtu mwingine na hii haimaanishi mbowe ni fisadi..huu ni mtazamo wangu labda kama silielewi hili sakata vizuri nieleweshwe.,taarifa ya chadema ya kukiri kununua malori imechapishwa gazeti la mwanahalisi..

maandamano unasema sieleweki?umetumwa?
 
maandamano unasema sieleweki?umetumwa?

sasa kutoka kijiji kimoja na mbowe ndio kunamfanya awe mtu safi?wote tunampenda mbowe kwa upambanaji wake lakini anapokosea au tunapohisi amekosea lazima tueleze hisia zetu,.unaposema nimetumwa unamaanisha nini?usidandie maneno wanayotumia watu humu jamvini we mwanarombo,..talk sensible stuff,constructive one,we at war fool!!!
 
sasa kutoka kijiji kimoja na mbowe ndio kunamfanya awe mtu safi?wote tunampenda mbowe kwa upambanaji wake lakini anapokosea au tunapohisi amekosea lazima tueleze hisia zetu,.unaposema nimetumwa unamaanisha nini?usidandie maneno wanayotumia watu humu jamvini we mwanarombo,..talk sensible stuff,constructive one,we at war fool!!!

ngoja.nenda taratibu,sijaona mahali umesema mbowe ni fisadi
 
Mimi nashindwa kuelewa tatizo ni nini katika kununua malori ya Mbowe. Hilo ni jambo la kawaida kabisa kama kiongozi ama mfanyakazi wa organisation yoyote unataka kufanya biashara na mwajiri wako, unachtakiwa kufanya ni ku-declare conflict of inteest. Kama mwajiri wako ataona baada ya ku-declare organisation itanufaika na hiyo deal, kamati inapitrisha na deal inafanyika. Shida ingekuwa kama Mbowe angeuzia Chadema molori kwa ujanja na bila kufahamika kuwa ndiye mwenye mali halafu ukweli ukagundulika. Hapo tungemfukuza, lakini maadam CDM wenyewe ndio waliomuomba hakuna shida. Sasa nimeambiwa kuwa malori hayo yapo kwenye harakati za uhuru wa pili wa taifa letu. CDM mwendo mdundo, msisikilize hizo porojo za chama cha magamba ambacho kimeshachoka na kuchakaa, na sasa hakiuziki tena.
 
aisee yule dr slaa ndiye awe mwenyekiti,mbowe hana matatizo kwanza natoka naye kijiji kimoja,lakini slaa ana kitu ambacho anaweza kuwafanyia watanzania katika process nzima ya mabadiliko,nahisi slaa ni kiongozi mwenye uwezo
hujui nini majukumu ya mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama/taasisi
rudi shule au VETA
 
Back
Top Bottom