nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
baada ya kukiri kwa CDM kwamba wamenunua malori ya mbowe kwa kulipa deni kidogokidogo bila riba inawezekana ikaonekana kama mbowe ameisaidia chadema,lakini mimi naona kuna mgongano wa maslahi,mwenyekiti wa chama anakiuzia chama malori yake!inawezekana mbowe kayatoa kwa roho safi labda na kwa bei ya hasara lakini kisiasa unakuwa umewapa wapinzani wako silaha ya kukuandama,..CDM wawe wanafikiria kwa undani zaidi kabla ya kuamua jambo no matter how good intentions are,kwa swala hili la malori sijui nani awajibike?mbowe au walioshauri kuyanunua..lakini naye mbowe angekataa kukiuzia chama...kwa mtazamo wangu,naona mbowe akabidhi uenyekiti kwa mtu mwingine na hii haimaanishi mbowe ni fisadi..huu ni mtazamo wangu labda kama silielewi hili sakata vizuri nieleweshwe.,taarifa ya chadema ya kukiri kununua malori imechapishwa gazeti la mwanahalisi..