Mbowe: Rais Kikwete anatekeleza hoja za maandamano yetu

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Hivi karibuni Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilifanya maandamano katika mikoa ya kanda ya Ziwa yaliyohudhuriwa na watu wengi.
Hata hivyo maandamano yalipokelewa kwa hisia tofauti na serikali ambayo iliyatafsiri kuwa ni hatua ya Chadema kutaka kuleta vurugu nchini. Rais Kikwete alionyesha kukerwa na maandamo hayo akisema Chadema kinawajengea hofu wananchi. Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesikitishwa na kauli za viongozi wa serikali kuwa Chadema wanataka kuiondoa serikali madarakani, wapi sisi Chadema tuliwataka wananchi waing'oe serikali? lengo letu ni kuiwajibisha serikali siku tisa walizotoa Chadema kutekeleza maazimio yao ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa hali ya ugumu wa maisha inaondoka. baada ya siku tisa kupita Rais Kikwete ameanza kutekeleza hoja zao. "Ndani ya siku tisa, Rais Kikwete aliagiza bei ya sukari ishuke kutoka sh 2000 hadi sh 1700 hakuishia hapo, aliagiza pia bei hiyo ishuke kutoka sh 1700 hadi sh 1500. " Rais ameanzisha ziara kwenye wizara, akaagiza pia gharama za kuunganisha umeme zipunguzwe hayo yote ni kutekeleza hoja za maandamano yetu.
Source: Mwananchi Machi 30, 2011
 
Dah!!! Huyu JK ndiye hasa rais tunaemuhitaji. Nadhani hata Mbowe kamkubali kwani ni Rais msikivu. Anafanyia kazi mambo yote mazuri anayoambiwa na wananchi wake. Mfano ktk maandamano ya CDM wameongelea suala la kupanda kwa bei ya vyakula na baada ya rais kusikia akaamua kulivalia njuga. Hatutaki rais ambaye haambiliki wala kushaurika.
Safi sana Mbowe, kauli yako inaonesha jinsi gani JK ni rais wa watu na habagui hoja za wapinzani wake.

VIVA JK, LONG LIVE CCM
 
Kama kumbukumbu zangu haziko sawa mnikosoe, Katika kampeni zake za kuwania urais 2010 alishawahi kusema Chadema ni chama cha msimu, swali langu kubwa INAKUWAJE ANAOGOPA CHAMA CHA MSIMU???????
 
Chatu Dume vipi Makamba kakunyima ruzuku? mbona siku hizi unaleta thread za kuwaudhi CCM wenzako?
 
Hivi karibuni Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilifanya maandamano katika mikoa ya kanda ya Ziwa yaliyohudhuriwa na watu wengi.
Hata hivyo maandamano yalipokelewa kwa hisia tofauti na serikali ambayo iliyatafsiri kuwa ni hatua ya Chadema kutaka kuleta vurugu nchini. Rais Kikwete alionyesha kukerwa na maandamo hayo akisema Chadema kinawajengea hofu wananchi. Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesikitishwa na kauli za viongozi wa serikali kuwa Chadema wanataka kuiondoa serikali madarakani, wapi sisi Chadema tuliwataka wananchi waing'oe serikali? lengo letu ni kuiwajibisha serikali siku tisa walizotoa Chadema kutekeleza maazimio yao ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa hali ya ugumu wa maisha inaondoka. baada ya siku tisa kupita Rais Kikwete ameanza kutekeleza hoja zao. "Ndani ya siku tisa, Rais Kikwete aliagiza bei ya sukari ishuke kutoka sh 2000 hadi sh 1700 hakuishia hapo, aliagiza pia bei hiyo ishuke kutoka sh 1700 hadi sh 1500. " Rais ameanzisha ziara kwenye wizara, akaagiza pia gharama za kuunganisha umeme zipunguzwe hayo yote ni kutekeleza hoja za maandamano yetu.
Source: Mwananchi Machi 30, 2011

chadema ni chama makini. viongozi wake siyo watu wa kuropoka ropoka ili wapigiwe makofi. lazima jk kilimuuma, hasa ile ishu ya watu wa mwanza kutaka kutembea kwa miguu kuja magogoni kuleta 'za uarabuni'.

lakini kwa hekima za viongozi wetu wa chadema zilitumika. vijana walitulizwa wakasikia.

mpaka kieleweke.
 
Chatu Dume vipi Makamba kakunyima ruzuku? mbona siku hizi unaleta thread za kuwaudhi CCM wenzako?

kwi kwi kwi..................!!! muache akaribie kwenye kundi la ushindi unafikiri yeye hajui kuwa yuko kwenye kundi la kukosa mkuu?
 
Dah!!! Huyu JK ndiye hasa rais tunaemuhitaji. Nadhani hata Mbowe kamkubali kwani ni Rais msikivu. Anafanyia kazi mambo yote mazuri anayoambiwa na wananchi wake. Mfano ktk maandamano ya CDM wameongelea suala la kupanda kwa bei ya vyakula na baada ya rais kusikia akaamua kulivalia njuga. Hatutaki rais ambaye haambiliki wala kushaurika.
Safi sana Mbowe, kauli yako inaonesha jinsi gani JK ni rais wa watu na habagui hoja za wapinzani wake.

VIVA JK, LONG LIVE CCM
mkuu kweli jk msikivu sasa mbona hayatekelezwi! au YEYE HASIKILIZWI NA WATENDAJI WAKE!?
 
Chatu Dume vipi Makamba kakunyima ruzuku? mbona siku hizi unaleta thread za kuwaudhi CCM wenzako?

Rev Masanilo mbona unaangaika unatafuta Controvery, nenda kapate vikombe viwili kimoja cha Loliondo kingine cha Tabora ban imekufanya uwe Insanity, msalimie Max nsimba
 
CHADEMA wamejipanga, wako makini kuliko umakini wenyewe, safi sana!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Chatu Dume vipi Makamba kakunyima ruzuku? mbona siku hizi unaleta thread za kuwaudhi CCM wenzako?

Rev Masanilo mbona unaangaika unatafuta Controvery, nenda kapate vikombe viwili kimoja cha Loliondo kingine cha Tabora ban imekufanya uwe Insanity, msalimie Max nsimba
 
Dah!!! Huyu JK ndiye hasa rais tunaemuhitaji. Nadhani hata Mbowe kamkubali kwani ni Rais msikivu. Anafanyia kazi mambo yote mazuri anayoambiwa na wananchi wake. Mfano ktk maandamano ya CDM wameongelea suala la kupanda kwa bei ya vyakula na baada ya rais kusikia akaamua kulivalia njuga. Hatutaki rais ambaye haambiliki wala kushaurika.
Safi sana Mbowe, kauli yako inaonesha jinsi gani JK ni rais wa watu na habagui hoja za wapinzani wake.

VIVA JK, LONG LIVE CCM

Mkuu unahitaji rais asiyeongoza nchi? Hii ni ajabu sana. It is true usikivu ni sehemu mojawapo ya sifa ya kiongozi ila kiongozi. hata hivyo kwa ngazi kama ya Rais au any senior position; ni lazima awe strategic. Kwa hali ilivyo CDM ndio wako strategic halafu yeye anafanya photocopy. Nani anaongoza nchi hapo?
 
Rev Masanilo mbona unaangaika unatafuta Controvery, nenda kapate vikombe viwili kimoja cha Loliondo kingine cha Tabora ban imekufanya uwe Insanity, msalimie Max nsimba

Chatu bwana!! umenchekesha sna wakati nilikuwa sina raha sana leo... shukran
 
mkuu kweli jk msikivu sasa mbona hayatekelezwi! au YEYE HASIKILIZWI NA WATENDAJI WAKE!?
HAPO ,ndo utata,jamaa anatalii tu,JK anakumbuka kuwa amewai kuzitembele wizara hizo miaka 5 hiliyopita.Je AMEWAULIZA MIAKA MITANO ILIYOPITA WAMEFANYA NINI.?Sasa na hizi ni kama utalii
 
dah!!! Huyu jk ndiye hasa rais tunaemuhitaji. Nadhani hata mbowe kamkubali kwani ni rais msikivu. Anafanyia kazi mambo yote mazuri anayoambiwa na wananchi wake. Mfano ktk maandamano ya cdm wameongelea suala la kupanda kwa bei ya vyakula na baada ya rais kusikia akaamua kulivalia njuga. Hatutaki rais ambaye haambiliki wala kushaurika.
Safi sana mbowe, kauli yako inaonesha jinsi gani jk ni rais wa watu na habagui hoja za wapinzani wake.

Viva jk, long live ccm
mbona hajavalia njuga maswala ya dowans,epa,mfumuko wa bei maisha duni ya watanzania, katiba etc? Swala la sukari si cha mtoto!!
 
Back
Top Bottom