Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Unajua mimi naona kujiita Chadema kumekua fashion sasa. Kuna watu huku wanajiita Chadema au mashabiki wa Chadema ila nina mashaka na kujitolea kwao kwa chama nje ya maisha ya mtandaoni.
Ukishakuwa kabila fulani fulani au dini fulani usipojiita CDM unapopolewa mawe, so watu wanalinda maisha yao