Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Mhe Kiongozi wa Upinzani Bungeni, tafadhali kesho katika maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu muulize imekuwaje Mbunge toka Zanzibar (ingawa alishakuwa mbunge wa Mkuranga) ameteuliwa kuwa Waziri wa Tanganyika?
Je hatuna wabunge walistahili kuwa mawaziri upande wetu?
Tafadhali KUB pata ufafanuzi mzuri katika hili.
Bazazi ni Bazazi
Je hatuna wabunge walistahili kuwa mawaziri upande wetu?
Tafadhali KUB pata ufafanuzi mzuri katika hili.
Bazazi ni Bazazi