Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,380
Acha kuweweseka mkuu wangu.Usipate homa kwa hofu hata kabla ya Jumamosi.
Mkuu mie Jumamosi takuwa uwanja wa taifa naangalia taifa stars...
Acha kuweweseka mkuu wangu.Usipate homa kwa hofu hata kabla ya Jumamosi.
Ohooo chama! chama gani chama cha wananchi Cuf! - X 2....mapanga shaa shaa!
Sasa hakuna cha ngangali wala jino kwa jino mmebaki mavi matupu. RIP CUF!
Mkuu mie Jumamosi takuwa uwanja wa taifa naangalia taifa stars...
Mungu ibariki CDM
Nitakuwepo! Nimepanga kuhudhuria, hii siyo ya kukosa!!
Ukabila, Ukanda ndo unavyo viwaza katika kichwa chako hata kutizama kalenda tu kufahamu Tar. 26/05 ni siku ya Jmosi umeshindwa! Acha kukurupuka
Viongozi wakuu wa CDM wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa Jumamosi ijayo tarehe 26/05/2012 watalitikisa jiji kuu la Dar kwa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya Jangwani.
Mkutano huo utakuwa ni maalum kuzungumza na kuwaelimisha wananchi kuhusiana na Katiba mpya. Pia viongozi hao wanatarajiwa kulaani uamuzi wa halmashauri kuu ya CCM kutenga mambo kadhaa na kuwaamuru wananchi kutoyajadili kwani yanapaswa kubaki kwenye katiba kama yalivyo.
Mkutano huo pia utahudhuriwa na Naibu katibu mkuu Zitto Kabwe, Mnadhimu mkuu wa upinzani Tundu Lissu, Mwanasheria maarufu Mabere Marando,wabunge wote wa chama hicho na wajumbe wote wa kamati kuu.
Itakumbukwa mara ya mwisho CDM kufanya mkutano mkubwa kama huo Dar ni siku ya uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa chama hicho mwezi Agosti mwaka juzi.
Mkutano huo unatarajiwa kulitikisa jiji la Dar na Taifa kwa ujumla kwani Maelfu ya wana-CCM wanatarajiwa kuvua Gamba na kuvaa Gwanda.
Source: John Mnyika-CDM
Mkuu mkutano utaanza saa 8 mchana.Sharti wananchi wazalendo wachague kati ya mkutano wa ukombozi na Drogba nani bora kwa maisha yao na ya vizazi vyao.
Mwambie na jirani yako mkuu wangu...
Naunga hoja mkono kwani hata sisi makamanda wa Rorya tunatamani kufuatilia ikiwezena live tukio hilo la kitaifa!
Jamani tusisahau kubeba viroba jumamosi kwa ajili ya kujaza kadi za magamba watakaokuwa wanajivua magamba!!sipati picha mpaka mwanangu mdogo atapiga kombati uhh itatisha.