Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,212
- 42,075
Kama una ushahidi si upeleke sehemu husika? Una angaika nini?
Nakumbuka hata wakti wa kifo cha CHACHA WANGWE alikuwa anarukaruka South Africa na nasikia alifanya sherehe kwa kusikia kuwa taarifa ya msiba huo. Katika tukio hili la KIBANDA nasikia aliga kuwa hatakua Dar bali atakuwa HAI kuhudhuria mkutano wa baraza la Halmashauri , lakini akaonekana MOI akimpa pole bwana KIBANDA. Huyu jamaa mtata sana kama jini vile.