figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
Kwa taarifa rasmi niliyoipata kutoka kwa Mbunge wa Musoma mjini Mh. Vincent Nyerere, inasema kuwa Mh. Mbowe na wabunge wengine walioambatana nae watawasili leo hii.Mh. Mbowe ataitembelea Tarime, miradi mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa na CHADEMA,kufungua ofisi za Chama kwenye kata mbalimbali..Jumapili,asubuhi ataongea na madiwani wa Musoma na jioni atazungumza na wadau mbalimbali wa chama hapa Musoma..Jumatatu ndo, mkutano wenyewe utafanyika katikaViwanja vya Mukendo. mia