Semeni tu kazi mliyomtuma Zitto kufanya imemshinda. Sasa hafai tena! Ametupwa kama kondomu iliyotumika!Zitto alionekana Mbaya,Msaliti baada tu ya kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti wa chama,hadi CEO wa CHADEMA mzee Mtei na wenzake wakamwambia Zitto atoe jina lake,mengine haya ni mbwembwe tu,tatizo UENYEKITI
Kukubali kwako au kutokubali hakutakuwa na athari yoyote. Zitto ni mwanasiasa mahiri, anao wafuasi wengi walio tayari kuondoka naye kwenda chama atakachochagua, tunavyo vyama zaidi ya 20, tatizo liko wapi? Si aende na hao wafuasi wake akaimarishe kimojawapo kati ya vyama vilivyopo?
Sasa wewe unafikiri kwamba wao wamekurupuka tu?Kuna adhabu ya kwanza, ya pili then dismissal
No reprimand ..... It is hostile
fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama
fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama
Pole akili zako zimeshikwa na Mbowe ,mwenzenu yupo kibiashara zaidiSemeni tu kazi mliyomtuma Zitto kufanya imemshinda. Sasa hafai tena! Ametupwa kama kondomu iliyotumika!
Bound together by something, always remember that.Hii Ni kufuru
Understand that a party is made of all types of people!!!
Laiti TISS wangeweka list yote ya watu walio katika payroll yao, watu humu wangeshindwa kutazamana!. Thanks God Tuliojaliwa jicho la Tatu, "third eye", tunawaona machoni hadi miyoni mwao!, wakati wengine ni wapinzani kweli!, kuna wenzao ni wapiga dili tuu na wafanya biashara ya siasa!.
Pasco
Sasa wewe unafikiri kwamba wao wamekurupuka tu?
Pasco Mbowe nae analipwa na TISS?Laiti TISS wangeweka list yote ya watu walio katika payroll yao, watu humu wangeshindwa kutazamana!. Thanks God Tuliojaliwa jicho la Tatu, "third eye", tunawaona machoni hadi miyoni mwao!, wakati wengine ni wapinzani kweli!, kuna wenzao ni wapiga dili tuu na wafanya biashara ya siasa!.
Pasco
fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama
Semeni tu kazi mliyomtuma Zitto kufanya imemshinda. Sasa hafai tena! Ametupwa kama kondomu iliyotumika!
Hii ndiyo tofauti ya CDM na CCM!
Laiti TISS wangeweka list yote ya watu walio katika payroll yao, watu humu wangeshindwa kutazamana!. Thanks God Tuliojaliwa jicho la Tatu, "third eye", tunawaona machoni hadi miyoni mwao!, wakati wengine ni wapinzani kweli!, kuna wenzao ni wapiga dili tuu na wafanya biashara ya siasa!.
Pasco