Mbowe akishinda hii kesi jamhuri msiwe mnapeleka kesi mahakamani kabisa

Huyo ni pimbi kabisa,eti wamejipanga,ujipange kisha uingie na diary.Huyo shahidi wenu alidhani anakwenda kuhutibia.
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Tariq Aziz enzi hizo za Iraq ilipokuwa inapigwa na majeshi ushirika (US &UK) alikuwa hivihivi kwenye media kujifariji kuwa majeshi ya Iraq yatasambaratisha majeshi ya uvamizi. Mwisho wa siku Sadam akadakwa na kupigwa kitanzi. Sasa nyie mnajifaji eti Jamhuri imejipanga vizuri wakati hakuna kitu.
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Sabaya Gang kazini
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Umeandika upuuzi mtupu, unalazimisha nyekundu kuwa kijani kitu ambacho hakiwezekani. Kukariri uongo ni shida sana. Mapoti waliotoa ushahidi walikuwa pamoja muda mwingi ktk upelelezi wao lakini kny ushahidi wao wanapingana kwa mambo mengi sana, mfano mazingira walipowakamata watuhumiwa poti mmoja anasema walikuwa grocery wakinywa bia, mwingine waliwakuta wakinywa supu na mama mbege nae alisema walikuwa wanasajili line. Pia katila safar yao kuja dar mmoja anasema gari ilipata pancha na mwingine anasema ilikuwa ni hitilafu ya umeme. Naungana na Mh Tundu Lissu aliposema poti wetu kny kesi hii ni mabogaz hamna kitu kichwani. Na pia ulieandika uzi huu uelewa wako ni kama wa yule mama mbege alietoa ushahid wake majuzi
 
Umeandika upuuzi mtupu, unalazimisha nyekundu kuwa kijani kitu ambacho hakiwezekani. Kukariri uongo ni shida sana. Mapoti waliotoa ushahidi walikuwa pamoja muda mwingi ktk upelelezi wao lakini kny ushahidi wao wanapingana kwa mambo mengi sana, mfano mazingira walipowakamata watuhumiwa poti mmoja anasema walikuwa grocery wakinywa bia, mwingine waliwakuta wakinywa supu na mama mbege nae alisema walikuwa wanasajili line. Pia katila safar yao kuja dar mmoja anasema gari ilipata pancha na mwingine anasema ilikuwa ni hitilafu ya umeme. Naungana na Mh Tundu Lissu aliposema poti wetu kny kesi hii ni mabogaz hamna kitu kichwani. Na pia ulieandika uzi huu uelewa wako ni kama wa yule mama mbege alietoa ushahid wake majuzi
Mbona unatoa povu sana
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Ingekuwa unafuatilia hii kesi usingeogea haya naona Ni mshambuliaji wa ccm,pia wewe sio mwansheria usipotoshe watu kuwa mawakili wa serikali wamejipanga,kiuhalisia mawakili wanabebwa na ccm,lakini ukisikiliza mahojiano ya mashahidi walioandaliwa wote Ni kukalilishwa ndio maana wanakili hata wao kesi hii Ni ya kutengeneza.
 
Ingekuwa unafuatilia hii kesi usingeogea haya naona Ni mshambuliaji wa ccm,pia wewe sio mwansheria usipotoshe watu kuwa mawakili wa serikali wamejipanga,kiuhalisia mawakili wanabebwa na ccm,lakini ukisikiliza mahojiano ya mashahidi walioandaliwa wote Ni kukalilishwa ndio maana wanakili hata wao kesi hii Ni ya kutengeneza.
Badilisheni hizi hoja zenu dhaifu
 
Ingekuwa unafuatilia hii kesi usingeogea haya naona Ni mshambuliaji wa ccm,pia wewe sio mwansheria usipotoshe watu kuwa mawakili wa serikali wamejipanga,kiuhalisia mawakili wanabebwa na ccm,lakini ukisikiliza mahojiano ya mashahidi walioandaliwa wote Ni kukalilishwa ndio maana wanakili hata wao kesi hii Ni ya kutengeneza.
Pingamizi la diary limefikia wap?
 
Hapo vip!!

Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.

Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.

Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.

Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..

Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.

Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.

Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.

Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia

Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Sukuma Gang akijipa matumaini
 
Back
Top Bottom