We Yohanambatizaji unamjibia mtu kwa hamaki hivyo unataka tuelewe kuwa hiyo ni Id yako nyingine, kuwa positive.
Nadhani uko kwenye Kibanda cha mbege!
Nadhani uko kwenye Kibanda cha mbege!
Huyo kwenye hilo fuvu lake kuna usaha na funza badala ya ubongo.Ukweli ndio huo mahakama inavujisha documents kwa mashahidi wa jamuhuri ili kuchezea ushahidi!? Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
Chadema chama cha mashetani bora ccmWhatever it can be ...ccm haitatawala milele..kama ilianguka Soviet, Rumi,ashuru,ajemi na zingine ... ccm wamempa nini Mungu wasianguke
Subiri hukumu acha kuruka ruka kama maharagee jikoniHuyo ni pimbi kabisa,eti wamejipanga,ujipange kisha uingie na diary.Huyo shahidi wenu alidhani anakwenda kuhutibia.
HayaChadema chama cha mashetani bora ccm
Tariq Aziz enzi hizo za Iraq ilipokuwa inapigwa na majeshi ushirika (US &UK) alikuwa hivihivi kwenye media kujifariji kuwa majeshi ya Iraq yatasambaratisha majeshi ya uvamizi. Mwisho wa siku Sadam akadakwa na kupigwa kitanzi. Sasa nyie mnajifaji eti Jamhuri imejipanga vizuri wakati hakuna kitu.Hapo vip!!
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Sabaya Gang kaziniHapo vip!!
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Kwakua ni mpumbavu ndio maana, na unafikra za kijinga na kikahaba, utakuta ni maskini wa kutupwaBINAFSI NA AMINI KUNA UKWELI KATIKA HII KESI
Sabaya syndrome, ile pesa ya Mawakili mliochangisha mmeshaila, mbwa nyieNa kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Umeandika upuuzi mtupu, unalazimisha nyekundu kuwa kijani kitu ambacho hakiwezekani. Kukariri uongo ni shida sana. Mapoti waliotoa ushahidi walikuwa pamoja muda mwingi ktk upelelezi wao lakini kny ushahidi wao wanapingana kwa mambo mengi sana, mfano mazingira walipowakamata watuhumiwa poti mmoja anasema walikuwa grocery wakinywa bia, mwingine waliwakuta wakinywa supu na mama mbege nae alisema walikuwa wanasajili line. Pia katila safar yao kuja dar mmoja anasema gari ilipata pancha na mwingine anasema ilikuwa ni hitilafu ya umeme. Naungana na Mh Tundu Lissu aliposema poti wetu kny kesi hii ni mabogaz hamna kitu kichwani. Na pia ulieandika uzi huu uelewa wako ni kama wa yule mama mbege alietoa ushahid wake majuziHapo vip!!
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Mbona unatoa povu sanaUmeandika upuuzi mtupu, unalazimisha nyekundu kuwa kijani kitu ambacho hakiwezekani. Kukariri uongo ni shida sana. Mapoti waliotoa ushahidi walikuwa pamoja muda mwingi ktk upelelezi wao lakini kny ushahidi wao wanapingana kwa mambo mengi sana, mfano mazingira walipowakamata watuhumiwa poti mmoja anasema walikuwa grocery wakinywa bia, mwingine waliwakuta wakinywa supu na mama mbege nae alisema walikuwa wanasajili line. Pia katila safar yao kuja dar mmoja anasema gari ilipata pancha na mwingine anasema ilikuwa ni hitilafu ya umeme. Naungana na Mh Tundu Lissu aliposema poti wetu kny kesi hii ni mabogaz hamna kitu kichwani. Na pia ulieandika uzi huu uelewa wako ni kama wa yule mama mbege alietoa ushahid wake majuzi
Ingekuwa unafuatilia hii kesi usingeogea haya naona Ni mshambuliaji wa ccm,pia wewe sio mwansheria usipotoshe watu kuwa mawakili wa serikali wamejipanga,kiuhalisia mawakili wanabebwa na ccm,lakini ukisikiliza mahojiano ya mashahidi walioandaliwa wote Ni kukalilishwa ndio maana wanakili hata wao kesi hii Ni ya kutengeneza.Hapo vip!!
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.
Badilisheni hizi hoja zenu dhaifuIngekuwa unafuatilia hii kesi usingeogea haya naona Ni mshambuliaji wa ccm,pia wewe sio mwansheria usipotoshe watu kuwa mawakili wa serikali wamejipanga,kiuhalisia mawakili wanabebwa na ccm,lakini ukisikiliza mahojiano ya mashahidi walioandaliwa wote Ni kukalilishwa ndio maana wanakili hata wao kesi hii Ni ya kutengeneza.
Pingamizi la diary limefikia wap?Ingekuwa unafuatilia hii kesi usingeogea haya naona Ni mshambuliaji wa ccm,pia wewe sio mwansheria usipotoshe watu kuwa mawakili wa serikali wamejipanga,kiuhalisia mawakili wanabebwa na ccm,lakini ukisikiliza mahojiano ya mashahidi walioandaliwa wote Ni kukalilishwa ndio maana wanakili hata wao kesi hii Ni ya kutengeneza.
Kumbuka hapo hafanyi mtihaniKitendo cha shadidi kuingia na desa kizimbali ni cha aibu sana kwa Jamhuri....DPP awaombe msamaha watanzania.
Sukuma Gang akijipa matumainiHapo vip!!
Nimekuwa nikifuatilua hii kesi ya mbowe,mwenendo ya kesi yenyewe na namna ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamhuri.
Jamhuri inaonyesha wamejipanga muda mrefu sana kwasababu za kiupelelezi nakadhalika.
Na kwanamna wanavyotoa ushahidi wao hakika umenyooka sana kuliko hata ule ushahidi wa Sabaya wa kuunga unga na gundi.
Siamini kama jamhuri inaweza kupoteza pesa nyingi kutengeneza kesi kubwa namna hii..
Kumbuka mashahidi wanaotoa ushahidi katika kesi hii ukiconnect doti kama unapata jibu chanya.
Jamhuri wametumia kodi ya wananchi katika upelelezi wa kesi hii na mchakato mzima unaohusu hii kesi.
Sasa kama mbowe atakuja kushinda kesi,ni heri jamhuri hata kama mtu amefanya uhaini wowote watumie njia nyingine kumkabili kuliko kumpeleka mahakamani.
Na sasa hivi wanachofanya mawakili wa mbowe ni kuweka mapingamizi mengi ili yakitupwa na mahakama waweze kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tunaomba judge asisikilize pressure kutoka kwa wanasiasa au wanaharakati fulani fulani na vyomba vya habari wenye mrengo ule wa kisiasa...kwasababu atainajinsi mahakama..hata Dunia ipige kelele mhalifu ni muhalifu tu.