mwanaharati bakari
Member
- Apr 6, 2015
- 91
- 24
Kupitia kipindi cha HOTMIX HABARI EATV leo, mh. Mbowe amenukuliwa akisema kuwa " Juzi Kikwete ameenda Marekani na amerudi kwenye sherehe za Mei Mosi. Jana tunaambiwa tena kuwa ameenda Marekani, hivi huko Marekani kuna nini?
My take: Hivi ni kweli Mbowe hajui Kikwete kaenda Marekani kufanya nini au ni aina ya SIASA NYEPESI?
My take: Hivi ni kweli Mbowe hajui Kikwete kaenda Marekani kufanya nini au ni aina ya SIASA NYEPESI?