Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
======================================================
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973
Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969
Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
========================================================
Ndugu wana JF. Hiyo ni Elimu ya "President" wetu Dr. Wilbord Slaa. Inapatikana katika CV rasmi ambayo aliiwasilisha bungeni.
Wana JF, tumekuwa wakali ku-scrutinize elimu za watu hasa wanapotoa mawazo yanayopingana na itikadi na mwenendo jumla wa CDM. Rejea thread hapa iliyokuwepo wiki iliyopita iliyokuwa ikimchambua DR. BANA. Mengi yalisemwa kuhusu elimu yake nk.
Lakini nimeipita CV ya mteule wetu Dr. (PHD). Slaa, napata maswali mengi. Hakuna amount of faith I have wala my love to the person and the party imeweza kuniondolea utata huu. Hasa ukizingatia tunavyokuwa wakali na kejeli kwa wengine.
Ukiangalia elimu ya Dr. ni ya kiseminari through and through! Ingekuwa mtu mwingine hiyo ingekuwa negative credit hapa JF na angepata a lot of stick!
Mbaya zaidi kwa Dr (PH. D) sioni sehemu aliyofanya Bachelor wala Masters Degree! Kutoka CERTIFICATES ghafla inaibuka PH.D! Jee hapa hamana ombwe tunalolifumbia macho?
Habari ya kuwa (some cerificates) are equivalent to degree, ningeikubali kama angekuwa anafanya Masters!
Najua kwanini hii ilipita, ni kwasababu kasoma katika vyuo vya kiimani ambavyo haviwi- regulated na any independent credible academic authority! Kwa maneno mengine hii ni kama ile ya akina Dr. Kamala!
USIACHE IMANI/MAPENZI YAKO YAFUNIKE UKWELI!
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973
Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969
Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
========================================================
Ndugu wana JF. Hiyo ni Elimu ya "President" wetu Dr. Wilbord Slaa. Inapatikana katika CV rasmi ambayo aliiwasilisha bungeni.
Wana JF, tumekuwa wakali ku-scrutinize elimu za watu hasa wanapotoa mawazo yanayopingana na itikadi na mwenendo jumla wa CDM. Rejea thread hapa iliyokuwepo wiki iliyopita iliyokuwa ikimchambua DR. BANA. Mengi yalisemwa kuhusu elimu yake nk.
Lakini nimeipita CV ya mteule wetu Dr. (PHD). Slaa, napata maswali mengi. Hakuna amount of faith I have wala my love to the person and the party imeweza kuniondolea utata huu. Hasa ukizingatia tunavyokuwa wakali na kejeli kwa wengine.
Ukiangalia elimu ya Dr. ni ya kiseminari through and through! Ingekuwa mtu mwingine hiyo ingekuwa negative credit hapa JF na angepata a lot of stick!
Mbaya zaidi kwa Dr (PH. D) sioni sehemu aliyofanya Bachelor wala Masters Degree! Kutoka CERTIFICATES ghafla inaibuka PH.D! Jee hapa hamana ombwe tunalolifumbia macho?
Habari ya kuwa (some cerificates) are equivalent to degree, ningeikubali kama angekuwa anafanya Masters!
Najua kwanini hii ilipita, ni kwasababu kasoma katika vyuo vya kiimani ambavyo haviwi- regulated na any independent credible academic authority! Kwa maneno mengine hii ni kama ile ya akina Dr. Kamala!
USIACHE IMANI/MAPENZI YAKO YAFUNIKE UKWELI!