KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Kwa muda mrefu sasa nimeshuhudia wanachama wa ccm walio wazalendo wanaokerwa na ufisadi, uongozi usio bora, maisha duni ,elimu duni, huduma duni za afya, uchezeaji rasilimali za nchi na mengi mengineyo mengi.wapo walithubutu hata kuanzisha chama.
Ninachojiuliza ni kwanini hasa huo uzalendo wa kumalizia unawashinda, je ni woga ,au kulinda maslahi zaidi?au nini?mtu atakombolewa na utashi wa utu wake, ujinga na woga wa kuthubutu tuutomeze jamani
Ninachojiuliza ni kwanini hasa huo uzalendo wa kumalizia unawashinda, je ni woga ,au kulinda maslahi zaidi?au nini?mtu atakombolewa na utashi wa utu wake, ujinga na woga wa kuthubutu tuutomeze jamani