Mbona mama huwa anachelewa Sana kutoa salami za rambirambi?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,494
20,515
Rais kwa kuwa ni rais namba moja, inabidi awe wa kwanza kutuma hizi rambirambi, sio kwa ubaya.
Screenshot_20221230-082738_1672391210411.jpg
 
Pengine taarifa anachelewa kuzipata kutokana na wanaotakiwa kumpa hizo taarifa kutofanya hivyo kwa wakati.
 
Naomba Madam President asitoe hata salamu. Sioni kama kuna faida salamu za msiba wakati hakukuwa na salamu zozote za kumtakia afya njema wakati wa ugonjwa.
 
Back
Top Bottom