February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,115
- 2,821
kafanyaje sasa akapewa nobel prize?Hapana
kafanyaje sasa akapewa nobel prize?Hapana
Kijana aliyeletwa kutoka Mkuranga naye Pia ni Mzanzibari?Wazanzibari wengi ni watu wanapenda kulalamika sana, huhisi wao ndio wanaonewa kila uchao.
Ila kwa sababu sasa hivi maraisi wote ni wao wa pande zote wanapna wakilalamika itakuwa aibu kwao kwa sababu mipini wameshika wao.
Mama samia anawajua uzuri watu wa Zanzibar
Yule ni mzanzibari haswa.Kijana aliyeletwa kutoka Mkuranga naye Pia ni Mzanzibari?
Mlizaliwa pamoja ikulu Na kusoma,Ulisoma naye shule ipi? Vikokotoni au Benbella au Rahaleo?Yule ni mzanzibari haswa.
Ili uwe mzanzibar uwe vipi kwani ?Mlizaliwa pamoja ikulu Na kusoma,Ulisoma naye shule ipi? Vikokotoni au Benbella au Rahaleo?
Ili uwe mzanzibar uwe vipi kwani ?
Usome raha leo na kuzaliwa ikulu,au uzaliwe chwaka na jambiani ?
Hujajiilbu swali,punguza jazba.Uletwe Na wavamizi upewe Id ya kupigia kura.
Wavamizi wameitoa nchi wakfu , yeyote anaweza kuwa mzanzibari. Wazanzibari wamefanywa ni wakaazi hata Id inaitwa hivyo ya ukaazi.
Literature.kafanyaje sasa akapewa nobel prize?
Wrnye zanzibar halisi ni waliopindua au waliopinduliwa ?Uletwe Na wavamizi upewe Id ya kupigia kura.
Wavamizi wameitoa nchi wakfu , yeyote anaweza kuwa mzanzibari. Wazanzibari wamefanywa ni wakaazi hata Id inaitwa hivyo ya ukaazi.
Kura 1,500 huko kwao unaulamba ubungeWana uhuru wao kasoro chama cha siasa tuu
Hujajiilbu swali,punguza jazba.
Ili uwe mzeji uweje ?
Wrnye zanzibar halisi ni waliopindua au waliopinduliwa ?
Huwezi kupiga mruzi karanga zikiwa mdomoni. Ngoja ziishe mdomoni ndipo tuanze kupiga mruziWaliokuwa wanapiga kelele sasa hivi wako mezani
Kwanini huwa mnafeli sana mitihani? Hili swali nauliza huu mwaka wa 10 sijapata jibu
kafanyaje sasa akapewa nobel prize?
SWALITatizo kubwa la Wazanzibari ni ELIMU ELIMU ELIMU
ni kweli sikumaliza chekecheaNi elimu gani sio ELIMU NGANI....Jifunze kwanza matumizi ya herufi kubwa na ndogo inaonekana chekechea hukumaliza vizuri