Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Duh!!!!!!!! but you have got something special....................any way au usikute huwa tunajuana lakin kwakua humu kila mtu kajificha basi na mm naliacha hivyo....................????? ?????????
Hii ni hali ambayo husababishwa na homoni zinazohusika kwa mtu mwelewa huweza kugundua na kuirekebisha mapema huwa inatokea automatical mwanaume ukiligundua take easy
of course mie naelewa ndio maana nimesema unaweza kufeel uneasy, uko mood n.k. lakini bado si justification ya kufanya mlolongo wa mambo in the name of kuwa mwezini,, noo wengine huzidisha mbwembwe as if wanawazimu wakishikwa tu ni kununa kelele vurugu sasa hayo yote yanatoka wapi? I dont think kuna jambo kama hilo ni tabia tu ya mtu
kwa nini isipumzike? inapumzika sana tu ila si lazima kila siku uisokomeze tu hukooo ! si kila wakati iingie kwenye tunnel, ikae gizani kwenye joto na unyevunyevu matokeo yake inatoka iko choka mbaya huku inatapika!!!! wakati mwingine huwa inaishia kukaa nje kwenye bustani ikapungua upepo na bado ikapata burudani tu!!!! upo kakaaaa!!!!
Pole sana Ruta. Hii ni kawiada kwa baadhi a wadada.
Rutashubanyuma hilo nalijua sana
Wabongo wengi wavivu kusoma na hata ukimwekea kakitabu ka kurasa tano tuu hawezi soma
Mkuu Rutashubanyuma hilo kwa wengi hutokea na mabadiliko hayo ni kwa wengine ni jambo lilotegemewa
Ila yafaa kuchukua tahadhari ujuapo mambo yako hivyo
Usije ukazusha zogo zaidi na kujikuta unapoteza hata hamu ya kuwa nyumbani wakati huo
Ila jiweke kwenye mategemeo ya kutuliza hali yake wakati huo
muhanga.sehemu kubwa ni kutojiamini na kudhani pengine huo ndiyo wakati wa jamaa kukamilisha mpango wa kando.............na huwa wanasikia hasira kwa sababu hudhani hawana sauti...........
Hizo siku Muumba kaziwekea ipumzike ukiendelea nayo yatakayokukuta utajuta..........muhanga
[FONT=century
gothic]...Mkuu ruta si wote...Wengine
wanakuwa na mapenzi moto moto ya kutaka kukumbatiwa na kupigwa mabusu
moto moto.
[/FONT]
Si unajua wengie wanaamini asipofanya mwanaume ataenda kwingine,
wengine wana joto sana, hasa wale wenzangu ambao
wanasubiria tu hapo home hawana shughuli za kufanya.
kweli. usiwapake wote rangi kwa brashi moja!