Mbona akiwa mbalamwezini huanzisha mazogo?

Ruta Ngoja niwasiliane na wasanii wa Bongo Flavor wakutafute naona hii mistari itaweza kuwatoa!

[MENTION]Ndallu[/MENTION] wakaribishe ingawaje sio mbaya ukiwapelekea hizo zilizomo humu wakjaribu kuona vipaji vyao vyawapeleka wapi?
 
Ruta mwaka huu! Tutakuandikia biography!

King'asti tatizo ni kuwa wachache sana wanachangia mada.............wengi wamejikita kunimwagia masifa...........which is okay lakini ningelipenda................michango juu ya hii mada......................hebu anza kuchangia mabo yako hivyo au vinginevyo?
 
Last edited by a moderator:
Kigarama wakimbilia wapi na ndiyo kumekucha, hivyo?
Nilisema nitarudi, ni kweli Rutashubanyuma
Muda ulitaradadi, nikashindwa la kusema,
mada hii ya weledi, inahitaji kusoma,
Si kukurupuka.


Nilikwenda jukwaani, kule kwa wanasiasa,
kuna jambo mwiba u ndani, nikashindwa kulisusa,
Wali hawamo mkoleni, kungwi kinywa kimekuwa tasa,
Ngariba nikajitosa!!

Hili ulilouliza, ni makuzi na maumbile pia,
Kama ni mama Aziza, au Jane mtoto wa Rupia,
Nani aliyewakuza, Ipi Staha au kupi kupapia,
Hayo nayo ni makuzi.

Walokuzwa kama mbogo, kila kitu hucharuka,
Kwao hao hakuna dogo, ada yake kulipuka,
Kama humpi kisogo, utateswa kama paka,
Usimsikilize.

Kwa yale maumbile, hayo ni yake manani,
huwa hivi au vile, bila kutoka moyoni,
Hawa hawana kelele, bali huwakuta wasiyodhani,
Msamehe
 
Last edited by a moderator:
Ruta siku hizi naona unatoka kishairi zaidi! Kunani nyuma ya hili?


Mimi nafikiri kila mwanamke ana namna yake 'akiwa mbalamwezini'. Wengine wala huwezi jua maana wanabehave normal tu...ikitokea ukaomba mchezo ndio unajua kuwa mambo si shwari siku hiyo!

kwa sisi wanawake siku hizi wa mjini hata kama ukiombwa mchezo kuna namna nyingi ya kuucheza kwa hiyo akikunyima kaamua tu kaka!
 
Rutashubanyuma kwa kweli kama ni kakipaji umekiweza
Hongera sana mkuu kwa haya
yabidi uandike kitabu kusema haya unayoyasema unaweza pata soko sana

Mr Rocky kwani hujui watz wanavyochukia kujisomea...................hawawezi kununua vitabu hata siku moja..........hebu toa mchango kwenye huu uzi kwanza...................................
 
Last edited by a moderator:
kwa sisi wanawake siku hizi wa mjini hata kama ukiombwa mchezo kuna namna nyingi ya kuucheza kwa hiyo akikunyima kaamua tu kaka!

muhanga hivi nayo haipumziki nini?
 
Last edited by a moderator:
Ruta kuanzisha mazogo eti kisa tu uko mwezini mi nadhani ni mbwembwe tu za wanawake, kama inavyokuwa wengine wakipata mimba basi ndio hasira na yote yaliyoujaza moyo wake atayatoa kwa kisingizio cha mimba. lakini wala hakuna cha ajabu, sanasana unaweza ukajikuta unaumwaumwa kidogo, hauko kwenye mood na hasahasa ya masuala yanayohusu mapenzi lakini bado sio sababu ya kufanya hayo uliyoorodhesha hapo juu.
 
Nilisema nitarudi, ni kweli Rutashubanyuma
Muda ulitaradadi, nikashindwa la kusema,
mada hii ya weledi, inahitaji kusoma,
Si kukurupuka.


Nilikwenda jukwaani, kule kwa wanasiasa,
kuna jambo mwiba u ndani, nikashindwa kulisusa,
Wali hawamo mkoleni, kungwi kinywa kimekuwa tasa,
Ngariba nikajitosa!!

Hili ulilouliza, ni makuzi na maumbile pia,
Kama ni mama Aziza, au Jane mtoto wa Rupia,
Nani aliyewakuza, Ipi Staha au kupi kupapia,
Hayo nayo ni makuzi.

Walokuzwa kama mbogo, kila kitu hucharuka,
Kwao hao hakuna dogo, ada yake kulipuka,
Kama humpi kisogo, utateswa kama paka,
Usimsikilize.

Kwa yale maumbile, hayo ni yake manani,
huwa hivi au vile, bila kutoka moyoni,
Hawa hawana kelele, bali huwakuta wasiyodhani,
Msamehe

muhanga uko juu sana......nilifikiria unataka kuingia mitini kumbeulikuwa unaniandlia kombora...............
 
Last edited by a moderator:
Ruta kuanzisha mazogo eti kisa tu uko mwezini mi nadhani ni mbwembwe tu za wanawake, kama inavyokuwa wengine wakipata mimba basi ndio hasira na yote yaliyoujaza moyo wake atayatoa kwa kisingizio cha mimba. lakini wala hakuna cha ajabu, sanasana unaweza ukajikuta unaumwaumwa kidogo, hauko kwenye mood na hasahasa ya masuala yanayohusu mapenzi lakini bado sio sababu ya kufanya hayo uliyoorodhesha hapo juu.

muhanga nimefanya kautafiti kidogo.....................usifikiri wanpenda kuwa hivyo........................ni swala la kimaumbile na hormonal imbalance............................kwa hiyo hujikuta kama wamepngukiwa kitu fulani na in those days they feel insecure ........na ndiyo maana huhamki sana wakihisi.............all of suddenly they have become weak....................na kuhisi pengine wananyanyapaliwa na hawathaminiwi kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wao......................kuwaelewa is a step forwward in handling their irritation with dignity............
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky kwani hujui watz wanavyochukia kujisomea...................hawawezi kununua vitabu hata siku moja..........hebu toa mchango kwenye huu uzi kwanza...................................


Rutashubanyuma hilo nalijua sana
Wabongo wengi wavivu kusoma na hata ukimwekea kakitabu ka kurasa tano tuu hawezi soma
Mkuu Rutashubanyuma hilo kwa wengi hutokea na mabadiliko hayo ni kwa wengine ni jambo lilotegemewa
Ila yafaa kuchukua tahadhari ujuapo mambo yako hivyo
Usije ukazusha zogo zaidi na kujikuta unapoteza hata hamu ya kuwa nyumbani wakati huo
Ila jiweke kwenye mategemeo ya kutuliza hali yake wakati huo
 
muhanga hivi nayo haipumziki nini?
kwa nini isipumzike? inapumzika sana tu ila si lazima kila siku uisokomeze tu hukooo ! si kila wakati iingie kwenye tunnel, ikae gizani kwenye joto na unyevunyevu matokeo yake inatoka iko choka mbaya huku inatapika!!!! wakati mwingine huwa inaishia kukaa nje kwenye bustani ikapungua upepo na bado ikapata burudani tu!!!! upo kakaaaa!!!!
 
muhanga nimefanya kautafiti kidogo.....................usifikiri wanpenda kuwa hivyo........................ni swala la kimaumbile na hormonal imbalance............................kwa hiyo hujikuta kama wamepngukiwa kitu fulani na in those days they feel insecure ........na ndiyo maana huhamki sana wakihisi.............all of suddenly they have become weak....................na kuhisi pengine wananyanyapaliwa na hawathaminiwi kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wao......................kuwaelewa is a step forwward in handling their irritation with dignity............

of course mie naelewa ndio maana nimesema unaweza kufeel uneasy, uko mood n.k. lakini bado si justification ya kufanya mlolongo wa mambo in the name of kuwa mwezini,, noo wengine huzidisha mbwembwe as if wanawazimu wakishikwa tu ni kununa kelele vurugu sasa hayo yote yanatoka wapi? I dont think kuna jambo kama hilo ni tabia tu ya mtu
 
promiseme......tunachotakiwa kufanya ni kufanya jitihada zote kuelewana sababu za mitafaruku ya namna hii ili kuirekebisha au kuivumilia kama tumeshindwa kuirekebisha..........

Hii ni hali ambayo husababishwa na homoni zinazohusika kwa mtu mwelewa huweza kugundua na kuirekebisha mapema huwa inatokea automatical mwanaume ukiligundua take easy
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin...............kupitia haya matenzi ya mahaba tayari umekwisha kuniona.................ukiniona zaidi ya hapo yaani hutayafurahia utafikiri kuna mtu huwa ananiandikia............................yaani hat sielekei vile...........

Duh!!!!!!!! but you have got something special....................anyway au usikute huwa tunajuana lakin kwakua humu kila mtu kajificha basi na mm naliacha hivyo....................??????????????
 
wengine huwa wanaingia pluto ndo maana hawana makuu.keep it up mwaka huu nakusubiri bongo star search mi ndiye director nafasi yako nimeshakuwekea unasemaje?
 
Back
Top Bottom