Mbio za sakafuni kweli

Vaislay

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
4,532
1,822
Hivi mmemsikia huyu sharobaro anae2pa vilift wadada anavyoua?
 
huyu Vaislay alikuwa meza ya pili ple Kona bar na alipoenda chooni Wini akatia mkojo kwenye kinywaji chake na yule dada ni mjamwepesi labda ndio tatizo.

hehehe halaf inawezekana hata jamaa hajielewi kama kaanzisha sredi! tumsubirie azinduke aje kuona haya mauzauza yake. Lazma ataomba razi tu
 
hehehe halaf inawezekana hata jamaa hajielewi kama kaanzisha sredi! tumsubirie azinduke aje kuona haya mauzauza yake. Lazma ataomba razi tu
Hahaha! hii staili ya kuibia wanaume kwa kuwawekea mkojo kwenye kinywaji ilianza uwanja wa fisi na kuvuma sana Lulu Semagongo(kimwana Manywele) alipobambwa akimfanyia zee la kihindi pale mango garden,yaani unazima kabisa yu kanti bilivu!
 
Hahaha! hii staili ya kuibia wanaume kwa kuwawekea mkojo kwenye kinywaji ilianza uwanja wa fisi na kuvuma sana Lulu Semagongo(kimwana Manywele) alipobambwa akimfanyia zee la kihindi pale mango garden,yaani unazima kabisa yu kanti bilivu!

kamanda walikufanyia nini? inaonekana uko fulu eksperiensed
 
kamanda walikufanyia nini? inaonekana uko fulu eksperiensed
Mi nikikaa na hawa viburidisho huwa siachi kinywaji nusu niendapo chooni,namaliza nikirudi naagiza kingine lol! miaka ya nyuma nilishuhudia dada mmoja akiondoka na wallet na simu ya njemba baada ya kuzimika na mabamedi wakakuta kichupa cha mkojo chini ya kiti cha dada aliyeondoka hahaha!
 
Mi nikikaa na hawa viburidisho huwa siachi kinywaji nusu niendapo chooni,namaliza nikirudi naagiza kingine lol! miaka ya nyuma nilishuhudia dada mmoja akiondoka na wallet na simu ya njemba baada ya kuzimika na mabamedi wakakuta kichupa cha mkojo chini ya kiti cha dada aliyeondoka hahaha!

hehehe mimi nakuwa sichukui wallet kabisa halaf simu naacha kaunta. Siku hizi simwamini mtu bana hata awe mbunge wa viti maalum.
 
hehehe mimi nakuwa sichukui wallet kabisa halaf simu naacha kaunta. Siku hizi simwamini mtu bana hata awe mbunge wa viti maalum.
hehehe! wabunge wa vitanda ooops viti maalumu ndio kabisaa,si ndio hawa wanaopunguza mataulo kwenye hizi gesti zetu wakina siye za elfu 5-10,sasa wanategemea tuondoke na maharufu ya perfumes za kike baada ya mechi za ugenini ?
 
hehehe! wabunge wa vitanda ooops viti maalumu ndio kabisaa,si ndio hawa wanaopunguza mataulo kwenye hizi gesti zetu wakina siye za elfu 5-10,sasa wanategemea tuondoke na maharufu ya perfumes za kike baada ya mechi za ugenini ?
kamanda acha nilog out sasa, battery low! acha nikarecharge!

akilejea mleta sredi mwambie nekst time anusuru jero yake kwenda cafe kuanzisha sredi kama hizi!
 
Huyu sharobaro anaetupa Lift ametuuwa kwa kutuambikiza ngo...a au anaua kwa njia gani?
 
Back
Top Bottom