huyu Vaislay alikuwa meza ya pili ple Kona bar na alipoenda chooni Wini akatia mkojo kwenye kinywaji chake na yule dada ni mjamwepesi labda ndio tatizo.hehehe bange mbaya wajameni!
huyu Vaislay alikuwa meza ya pili ple Kona bar na alipoenda chooni Wini akatia mkojo kwenye kinywaji chake na yule dada ni mjamwepesi labda ndio tatizo.
Hahaha! hii staili ya kuibia wanaume kwa kuwawekea mkojo kwenye kinywaji ilianza uwanja wa fisi na kuvuma sana Lulu Semagongo(kimwana Manywele) alipobambwa akimfanyia zee la kihindi pale mango garden,yaani unazima kabisa yu kanti bilivu!hehehe halaf inawezekana hata jamaa hajielewi kama kaanzisha sredi! tumsubirie azinduke aje kuona haya mauzauza yake. Lazma ataomba razi tu
Hahaha! hii staili ya kuibia wanaume kwa kuwawekea mkojo kwenye kinywaji ilianza uwanja wa fisi na kuvuma sana Lulu Semagongo(kimwana Manywele) alipobambwa akimfanyia zee la kihindi pale mango garden,yaani unazima kabisa yu kanti bilivu!
Mi nikikaa na hawa viburidisho huwa siachi kinywaji nusu niendapo chooni,namaliza nikirudi naagiza kingine lol! miaka ya nyuma nilishuhudia dada mmoja akiondoka na wallet na simu ya njemba baada ya kuzimika na mabamedi wakakuta kichupa cha mkojo chini ya kiti cha dada aliyeondoka hahaha!kamanda walikufanyia nini? inaonekana uko fulu eksperiensed
Mi nikikaa na hawa viburidisho huwa siachi kinywaji nusu niendapo chooni,namaliza nikirudi naagiza kingine lol! miaka ya nyuma nilishuhudia dada mmoja akiondoka na wallet na simu ya njemba baada ya kuzimika na mabamedi wakakuta kichupa cha mkojo chini ya kiti cha dada aliyeondoka hahaha!
hehehe! wabunge wa vitanda ooops viti maalumu ndio kabisaa,si ndio hawa wanaopunguza mataulo kwenye hizi gesti zetu wakina siye za elfu 5-10,sasa wanategemea tuondoke na maharufu ya perfumes za kike baada ya mechi za ugenini ?hehehe mimi nakuwa sichukui wallet kabisa halaf simu naacha kaunta. Siku hizi simwamini mtu bana hata awe mbunge wa viti maalum.
kamanda acha nilog out sasa, battery low! acha nikarecharge!hehehe! wabunge wa vitanda ooops viti maalumu ndio kabisaa,si ndio hawa wanaopunguza mataulo kwenye hizi gesti zetu wakina siye za elfu 5-10,sasa wanategemea tuondoke na maharufu ya perfumes za kike baada ya mechi za ugenini ?
kwenu hawakatazi kuvuta ganja???????????????????Hivi mmemsikia huyu sharobaro anae2pa vilift wadada anavyoua?
Harudi huyu saa hizi atakuwa nabonge la hangover,hujambo lakini ?Du mpaka sasa hajarudi, leta story kamili bana
Hautaelewa jamaa alikuwa high alipochezea computer jana usiku,natumai hujamba lovely eyes.Huyu sharobaro anaetupa Lift ametuuwa kwa kutuambikiza ngo...a au anaua kwa njia gani?