Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Ulimwengu wa Roho ndio uliumbwa Kwanza Kabla ya ulimwengu wa Mwili, wakati Mungu anamuumba mwanadamu aliumba Roho Kwanza Kabla ya Mwili
Wakati Mungu anaumba wanyama na miti na Vyote vinavyotambaa aliumba Roho Kwanza Kabla ya Mwili.
Vita siku zote zinafanyika kwenye ulimwengu wa kiroho , na ulimwengu wa Mwili ni uwanja wa matokeo, ziko Silaa kadhaa ambazo shetani anazitumia kuwashinda watu wa Mungu, Silaa hizo ni:-
A. Dhambi
B.Sheria
C. Damu
D. Sadaka
Silaa ya Kwanza
Dhambi
Dhambi ni Silaa kubwa Sana ambayo shetani anatumia kuwa angusha watu wa Mungu
Kwanini dhambi
Dhambi maana yake ni kutenda uhasi, kwenda kinyume na mamlaka Halali
Dhambi Kwa maana ambayo siyo rasmi ni kitendo ambacho unafanya Kwa kujua au kutokujua na kitendo hicho au matokeo ya kitendo hicho ni kukosa msaada wa Mungu aliye hai
Shetani anauwezo wa kumdhuru MTU wa Mungu , Hana huo uwezo ili aweze kupata uhalali wa kumshambulia MTU WA Mungu ni lazima atumie dhambi ili amwondoe mwanadamu katika mikono ya Mungu ili aweze kumtesa
Ndio maana shetani amekuwa anajifunza kila siku mbinu na mikakati ya kuhakikisha kwamba dhambi kuwa nzuri Sana ili mwanadamu amkose Mungu
Unaposoma habari ya pale bustani Yule mwanamke alipolitazama tunda aliliona Lina faaa Lina vutia na linapendeza
Hata Leo shetani anatumia MBINU hiyo hiyo Kile kitu ambacho Mungu alikikataza yeye anakutengenezea mazingira ya kupendeza na kuvutia kiasi kwamba unavutwa mwenyewe Kwa utashi wako
Mwanzo 3:6
[6]Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Dhambi ndio uwanja wa mapambano ambao shetani anautumia kuvuruga Maisha ya mwanadamu
Wakati Mungu anaumba wanyama na miti na Vyote vinavyotambaa aliumba Roho Kwanza Kabla ya Mwili.
Vita siku zote zinafanyika kwenye ulimwengu wa kiroho , na ulimwengu wa Mwili ni uwanja wa matokeo, ziko Silaa kadhaa ambazo shetani anazitumia kuwashinda watu wa Mungu, Silaa hizo ni:-
A. Dhambi
B.Sheria
C. Damu
D. Sadaka
Silaa ya Kwanza
Dhambi
Dhambi ni Silaa kubwa Sana ambayo shetani anatumia kuwa angusha watu wa Mungu
Kwanini dhambi
Dhambi maana yake ni kutenda uhasi, kwenda kinyume na mamlaka Halali
Dhambi Kwa maana ambayo siyo rasmi ni kitendo ambacho unafanya Kwa kujua au kutokujua na kitendo hicho au matokeo ya kitendo hicho ni kukosa msaada wa Mungu aliye hai
Shetani anauwezo wa kumdhuru MTU wa Mungu , Hana huo uwezo ili aweze kupata uhalali wa kumshambulia MTU WA Mungu ni lazima atumie dhambi ili amwondoe mwanadamu katika mikono ya Mungu ili aweze kumtesa
Ndio maana shetani amekuwa anajifunza kila siku mbinu na mikakati ya kuhakikisha kwamba dhambi kuwa nzuri Sana ili mwanadamu amkose Mungu
Unaposoma habari ya pale bustani Yule mwanamke alipolitazama tunda aliliona Lina faaa Lina vutia na linapendeza
Hata Leo shetani anatumia MBINU hiyo hiyo Kile kitu ambacho Mungu alikikataza yeye anakutengenezea mazingira ya kupendeza na kuvutia kiasi kwamba unavutwa mwenyewe Kwa utashi wako
Mwanzo 3:6
[6]Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Dhambi ndio uwanja wa mapambano ambao shetani anautumia kuvuruga Maisha ya mwanadamu