Olemandalo
Senior Member
- Dec 7, 2012
- 117
- 12
kikundi cha wahuni wachache wakiongozwa na aliyewahi kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Simanjiro akaangukia pua James Millya walikutana Kibo palace Hotel, nakupanga mbinu mbali mbali za kuchafua mbunge machachari wa Simanjiro Mh Olesendeka, mpango huo ulifadhiliwa na Mkurugenzi wa IOPA Martin Sanago, moja ya mbinu zilizo pangwa na wahuni hao ni kwenda kwa wapiga kura wa Mh Sendeka kuwahadaa wananchi kuwa mh Sendeka ndio fisadi wa Ardhi, Mkatiti huu uliasisiwa na Martini kwa lengo la kuficha ukweli la jinsi alivyotumia shirika lake hilo kuhujumu miundo mbinu za simanjiro na kujichukulia Ardhi, jambo la kumshukuru mungu wanasimanjiro wameshasanuka kuwa hao wanajiita wasomi wa Simanjiro ni wahuni watupu. Na wameshapuunzwa.