Mbinu ya Chadema Kumjenga Lowassa na Kummaliza Sitta yabainika!

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Kitendo cha Dr Slaa kummaliza kabisa Sitta kisiasa ni mbinu ya kisiasa ambayo Chadema wanategemea itawalipa baadae. Kwa mtazamo wa think Tank za chadema, kama ni urais 2015, ni afadhali kuwa na Lowassa kama mgombea wa CCM kuliko Samwel Sitta au mtu wa kambi yake. Kwa nini?

(i) Kwanza Samwel Sitta ana mambo ya kuelezea umma kuwa anaenda kuleta changes wakati Lowassa hawezi kuwaamisha watu kuwa anaenda kufanya mabadiliko

(ii) Pili, Lowassa na kambi yake wana kashfa nzito ambazo ni ngumu kuzifuta vichwani kwa watu kuliko Sitta ambaye hana kashfa. Kwamba alitaka kwenda upinzani utakuwa utetezi wake kuwa alipanga kwenda kuleta changes


(iii) Lowassa ana nguvu ndani ya CCM ila hauziki nje wakati Sitta anauzika nje na kambi yake ina watu wanaokubalika nje

(iv) Lowassa ni mtu wa kaskazini hivyo akigombea ile hoja ya ukaskazini haitakuwa na nguvu kwani wagombea wote ni wa kaskazini

(v) Kwa vile kuna watu hasa akina Sitta waliomtendea vibaya Lowassaa, kuna uwezekano Lowassa akiteuliwa hawa waloiokuwa maadui zake watahamia upinzani na hivyo kuigawa CCM au wataihujumu CCM ili Lowassa asishinde maana atalipiza kisasi

Ni kwa sababu hizo think tank za chadema zinaona ni afadhali kuwabomoa wafuasi wa Lowassa na ikiwezekana kumsaidia Lowassa awe mgombea ili kuishinda CCM kirahisi. Source, nimetonywa na mtu wa ndani ya system ya Chadema
 
PHP:
Pili, Lowassa na kambi yake wana kashfa nzito ambazo ni ngumu kuzifuta vichwani kwa watu kuliko Sitta ambaye hana kashfa.

Too low for a great thinker!
Uliza uambiwe kama hujui!
 
Naona kama ni uzushi,Chadema wana hoja nyingi za kuwaambia watz wakaelewa na kuwapa ridhaa 2015.sidhani kama wana mpango wa kuwaongelea watu.meanwhile aliyeanzisha huyo mnyukano sio CDM ni 6
 
Haina mantiki kwani uwezo wa Dr Slaa na Sita Dr anauzika kirahisi kabisa kwa wananchi kuliko hata huyo Sita unayesema kwani naye ni fisadi kama hao wakina Lowassa wananchi sisi gamba letu ni CCM yote na mfumo wake hivyo tunataka kujivua gamba la CCM bila kuangalia nani anagombea kupitia Magamba kwani ndio Lucefar wetu kwenye maendeleo ya nchi yetu huu mzimu unaoitwa CCM hatuutaki mkuu.
 
CDM wanafikiria mambo makubwa zaidi ya hayo uliyotaja. Kimsingi siasa ni game na ili kushinda lazima kujipanga. Kilicho muhimu ni kwamba CCM haina mtu msafi hata Sitta si msafi maana Richmond ilimshinda kuimalizia!
 
Naona kama ni uzushi,Chadema wana hoja nyingi za kuwaambia watz wakaelewa na kuwapa ridhaa 2015.sidhani kama wana mpango wa kuwaongelea watu.meanwhile aliyeanzisha huyo mnyukano sio CDM ni 6

Unaweza usione mantiki kwa urahisi ila kukubalika kwa wananchi peke yake hakutoshi kukufanya ushinde uchaguzi lazima kutumia mbinu pia nyingine za nje ya uwanja. Unadhani kwa mfano CCM wakimsimamisha Magufuli na Lowassa kura zitalingana? Ni sahisi kum discredit Lowassa kwa public kuliko Magufuli, ni rahisi pia kum discredit Lowassa kuliko Sitta
 
Kitendo cha Dr Slaa kummaliza kabisa Sitta kisiasa ni mbinu ya kisiasa ambayo Chadema wanategemea itawalipa baadae. Kwa mtazamo wa think Tank za chadema, kama ni urais 2015, ni afadhali kuwa na Lowassa kama mgombea wa CCM kuliko Samwel Sitta au mtu wa kambi yake. Kwa nini?
(i) Kwanza Samwel Sitta ana mambo ya kuelezea umma kuwa anaenda kuleta changes wakati Lowassa hawezi kuwaamisha watu kuwa anaenda kufanya mabadiliko
(ii) Pili, Lowassa na kambi yake wana kashfa nzito ambazo ni ngumu kuzifuta vichwani kwa watu kuliko Sitta ambaye hana kashfa. Kwamba alitaka kwenda upinzani utakuwa utetezi wake kuwa alipanga kwenda kuleta changes
(iii) Lowassa ana nguvu ndani ya CCM ila hauziki nje wakati Sitta anauzika nje na kambi yake ina watu wanaokubalika nje
(iv) Lowassa ni mtu wa kaskazini hivyo akigombea ile hoja ya ukaskazini haitakuwa na nguvu kwani wagombea wote ni wa kaskazini
(v) Kwa vile kuna watu hasa akina Sitta waliomtendea vibaya Lowassaa, kuna uwezekano Lowassa akiteuliwa hawa waloiokuwa maadui zake watahamia upinzani na hivyo kuigawa CCM au wataihujumu CCM ili Lowassa asishinde maana atalipiza kisasi

Ni kwa sababu hizo think tank za chadema zinaona ni afadhali kuwabomoa wafuasi wa Lowassa na ikiwezekana kumsaidia Lowassa awe mgombea ili kuishinda CCM kirahisi. Source, nimetonywa na mtu wa ndani ya system ya Chadema
mimi sidhani kama wewe unamawazo makini ya kupost hapa mezani maana unadhani chadema ni eti wanawasindikiza mafisadi kutimiza tamaa zao za uroho wa madaraka na silika za wizi uliokithiri na usiokua na dawa kama kina sita lowasa na ccm yao iliyooza kama mavi ya shetani!Chadema wanafanya siasa ili waigeuze nchi hii kuwa ya maziwa na asali na kuigeuza machinjio ya mafisadi maana sidhani kama kiongozi makini anaweza kuwaacha akina Dhaifu, riziwani,Chenge ,lowasa maige na majizi mengine yanayolindana kwa mgongo wa ikulu yakabaki salama tena hapahapa na kuendelea kututungia sheria....!!!Hii ni ajabu ya chama kilichoshiba laana za wazazi na ardhi ya waungwana
 
siasa za 'kumbomoa huyu' na kulipua yule'.
while ardhi inauzwa,madini ,mafuta na gesi vyote on sale
 
Kitendo cha Dr Slaa kummaliza kabisa Sitta kisiasa ni mbinu ya kisiasa ambayo Chadema wanategemea itawalipa baadae. Kwa mtazamo wa think Tank za chadema, kama ni urais 2015, ni afadhali kuwa na Lowassa kama mgombea wa CCM kuliko Samwel Sitta au mtu wa kambi yake. Kwa nini?
(i) Kwanza Samwel Sitta ana mambo ya kuelezea umma kuwa anaenda kuleta changes wakati Lowassa hawezi kuwaamisha watu kuwa anaenda kufanya mabadiliko
(ii) Pili, Lowassa na kambi yake wana kashfa nzito ambazo ni ngumu kuzifuta vichwani kwa watu kuliko Sitta ambaye hana kashfa. Kwamba alitaka kwenda upinzani utakuwa utetezi wake kuwa alipanga kwenda kuleta changes
(iii) Lowassa ana nguvu ndani ya CCM ila hauziki nje wakati Sitta anauzika nje na kambi yake ina watu wanaokubalika nje
(iv) Lowassa ni mtu wa kaskazini hivyo akigombea ile hoja ya ukaskazini haitakuwa na nguvu kwani wagombea wote ni wa kaskazini
(v) Kwa vile kuna watu hasa akina Sitta waliomtendea vibaya Lowassaa, kuna uwezekano Lowassa akiteuliwa hawa waloiokuwa maadui zake watahamia upinzani na hivyo kuigawa CCM au wataihujumu CCM ili Lowassa asishinde maana atalipiza kisasi

Ni kwa sababu hizo think tank za chadema zinaona ni afadhali kuwabomoa wafuasi wa Lowassa na ikiwezekana kumsaidia Lowassa awe mgombea ili kuishinda CCM kirahisi. Source, nimetonywa na mtu wa ndani ya system ya Chadema
ibange hapo umefikiria mwisho wa pua yako.. maana kama ni mbinu wangeanzisha wao mapambano na Sitta na kumsifia Lowassa lakini mapambano kaanzisha Sitta..
 
mimi sidhani kuwa majibu ya dr slaa kwa sitta ni mkakati wa chadema kummaliza mzee wa 'speed & standards.' sitta kafanya kosa la kiufundi kui~attack chadema huku akijua fika kuwa wana 'bomu' lake. naamini kuwa sitta angeweza kuwa mshirika mzuri wa akina dr slaa kwa sababu wote wanaongea lugha moja ~ ya kupambana na ufisadi na nia ya kuiletea nchi maendeleo. sitta asijidanganye kwamba anakubalika ndani ya ccm kiasi cha kupewa nafasi ya kugombea urais. hata washirika wake hawana nguvu ya kupambana na cdm
 
Hata ukifuatilia Gazeti la Tanzania Daima utagumndua linamshabikia lowassa na mhariri wake kaamua kutengeneza kitabu cha kuanika uoza wa Sitta ili tu Lowassa apendekezwe kugombea Urais kwa CCM ili wao hata wakisimamisha jiwe lipite kwani kwa wananchi hasa wapiga kura Lowassa hakubaliki
Fuatilia thread nyingi za humu ndani JF huyo mhariri utaamini kuwa kuna lengo la kumchafua SITTA kama sio kutumwa kuchafuana na kusafishiana njia ni nini? KITABU CHA SITTA Kwa mbinu hizo ni za kizamanikwani Mgombea URAIS huchaguliwa na Wanachama wa Mikutano Mikuu na sio Waandishi au wachanguiaji wa mitandao
 
ndg ibange nadhani na wewe ni gamba lenye makundi kwanini msikubali engine ya chama cha mapinduzi haifai hata kuovehall ni ya kubadilisha nyingine nayo ni chadema mkatae mkubali ccm hakuna jipya zimebaki fitina
 
"Ni kwa sababu hizo think tank za chadema zinaona ni afadhali kuwabomoa wafuasi wa Lowassa na ikiwezekana kumsaidia Lowassa awe mgombea ili kuishinda CCM kirahisi. Source, nimetonywa na mtu wa ndani ya system ya Chadema"[/QUOTE]

Hatuna haja ya kupingana na njozi zako; maana ni njozi tu hizi!!
 
Aina mpya ya kufikiri hii kwa mkereketwa wa ccm. . . What a waste.

Viongozi wa serikali wanaotakiwa kuwa busy kutatua kero za wananchi, wao wapo busy na urais - Sita huyo, mwingine yupo bisy playing oposition politics - Lowassa huyo.
 
Back
Top Bottom