Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Si wote jamani, namfahamu jamaa mmoja jirani yagu ambaye Kila kukicha "wenyeji" wanamwita "Mshirikina ndy maana anatajirika!" Lakn binafsi nikiangalia pesa anazoinvest na marejesho anayopata ni sawa kabisa kutajirika siku hadi siku, he is up saa kumi na moja alfajiri na analala saa saba usiku!!!!! wabongo wengi hawakosi maneno wanapoona mafanikio ya wenzao! UVIVU TU.:angry: