Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Mbeya ni Mkoa wenye Historia tata sana Tanzania, ni Mkoa wenye Makanisa Mengi sana lakini ni Mkoa ambao watu wake wanawindana kama Chui anapowindwa kwa maana Ngozi yake ni dili, lakini vile vile ni Mkoa ambao sasa ikifika saa Kumi na Mbili wakazi wake hujifungia ndani ili kuepuka kushambuliwa kwa Nondo kwa imani za Kishirikina.
Lakini nimekutana na Jambo la Ajabu ajabu sana juu ya hawa ndugu zetu Wasfwa ambao ndio wakazi wa Mbeya, wamekuwa wakiwapa watoto wao Majina mpaka unashangaa sana
Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa
1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney
Sasa Mtu unamwita mtoto wako RPCMorogoro kweli haya ni Mapenzi au
Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani
Lakini nimekutana na Jambo la Ajabu ajabu sana juu ya hawa ndugu zetu Wasfwa ambao ndio wakazi wa Mbeya, wamekuwa wakiwapa watoto wao Majina mpaka unashangaa sana
Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa
1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney
Sasa Mtu unamwita mtoto wako RPCMorogoro kweli haya ni Mapenzi au
Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani