Mzee anastahili hiyo adhabu nimeipendajapo uchawi ni hatari ila sio poa kwa mzee
Mzee anastahili hiyo adhabu nimeipendajapo uchawi ni hatari ila sio poa kwa mzee
Kabisa sema kuna jamii zinaamini hayo mambo sana.Ni ujinga na upumbavu kuamini mambo ya kishirikina. Hii tabia ya kuamini uchawi ni tabia ya kijinga sana ikomeshwe inavuruga amani katika jamii
sisi kwenye ukoo wetu tuliamua kukomesha kabisa imani za kishirikina, tunamshangaa sana mwanaukoo anayeamini ushirikina na hatumuungi mkono hoja zake za imani za kulogwa anapozileta kikaoni. Hatutaki mambo ya ramli na kuamini kulogwaKabisa sema kuna jamii zinaamini hayo mambo sana.
Mma kyala atutule bhaghwituTulitoka kwa akina JOMBI pale Mafyati, tukaingia kwenye mambo ya kuchunana Ngozi huko Mbozi na sasa tunazikana wazima..!!! Imbombo ngafu
Sana yaan...daahKwenu huko malafyale. Inasikitisha sana.
2013 kamanda wa mkoa akiwa athumani DiwaniHii ni Habari ya Mwaka gani??? Mkwajuni haiko Mbeya.
Unaujua uchawi na ubaya wa wachawi wewe..?Mtu unaumwa Tumbo unaenda kwa mganga was kienyeji Mtu ambaye hana Elimu ,anaishi katika umasikini hajui hata Aina yoyote ya dawa za kutibu then anakupa dawa iliyochanganywa na mikojo then ile reaction ya sumu inamfanya Mtu anakufa
Baada ya hapo mnapiga mtu na kumzika hai
Ukosefu wa MAARIFA ndo tatizo kubwa hapa Tanzania.